HOTUBA YA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA MPANGO WA KILIMO AWAMU YA PILI (ASDP II )
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 04 Juni, 2018 amezindua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (Agricultural Sector Development Programme, Phase Two - ASDP II). Mpango huo wa miaka mitano utatekelezwa hadi mwaka 2023 kwa gharama ya Shilingi Trilioni 13.8 ambapo Serikali na washirika wa maendeleo watatoa asilimia 40 ya fedha hizo, na sekta binafsi itatoa asilimia 60. Uzinduzi wa mpango huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Peter Pinda, Mawaziri, Wabunge, Mabalozi, Viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama, wadau wa sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi, wadau wa sekta binafsi, viongozi wa dini na viongozi wa siasa.

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUTEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI KAGERA

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA BARIADI - 08/09/2018

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWENYE UFUNGUZI WA HOSPITALI YA TAALUMA NA TIBA - KAMPASI YA MLOGANZILA

Deutschland – Paraguay Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

Sherehe Ya Wa Mama Maendeleo - Dallas, Texas

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

President Obama Acceptance Speech at 2012 Democratic National Convention (C-SPAN) - Full Speech

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUWAAPISHA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

Israel's dream of ruling the region is over, its decline has begun | Mustafa Barghouti |UNAPOLOGETIC

Watanzania wapongeza miaka miwili ya Rais Magufuli madarakani Prt 2

HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI BAADA YA KUWAAPISHA MAJAJI IKULU DSM.APRILI 20,2018

KIPINDI CHA UZINDUZI WA DARAJA LA MAGUFULI NA BARABARA YA KIDATU - IFAKARA

PASTOR NATHANIEL BASSEY AT WORSHIP & WARFARE SERVICE MAY 2026 ||17||05||2026

12 NOV 2018 HOTUBA YA MHE RAIS DKT MAGUFULI AKIZUNGUMZA BAADA YA KUWAAPISHA MAWAZIRI, NAIBU MAWA

PRESIDENT PAUL KAGAME BWAMBERE MUMATEKA AVUZE UKO KAYUMBA NYAMWASA YAMUSABYE KO BAHUNGIRA UGANDA

HOTUBA YA RAIS DKT.MAGUFULI KWENYE SHEREHE YA KUAZIMISHA MIAKA 56 YA TANZANIA BARAM

