ANASWA AKIIHUJUMU TANESCO SONGEA, AANGUA KILIO
Watu wawili kati ya watatu wakazi wa Namanditi Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wanashikiliwa na polisi kwa kujiingizia umeme kinyume cha utaratibu kisha kuutumia bila kulipia, na kuisababishia hasara TANESCO huku mmoja akiweka boksi la plastiki na kulifanya mita. Mmoja wa watuhumiwa hao, alipokamatwa aliangua kilio. Akizungumza katika operesheni endelevu ya kuwabaini watu wanaolihujumu Shirika la Umeme Tanzania Mhandisi wa Kitengo cha Kudhibiti Mapato cha TANESCO mkoa wa Ruvuma Mhandisi Brown Mkolwe, amesema hawawezi kuvifumbia macho vitendo hivyo.

▶︎
ZAIDI YA WATU WANNE WANASWA NA TANESCO KWA KUJIUNGANISHIA UMEME BILA KUFUATA UTARATIBU

▶︎
KICHWA CHA SONGEA KILIKUWA NA NINI,KILIKATWA MWAKA 1906

▶︎
HATARI MSAKO WEZI WA UMEME MBEYA! JAMAAANASWA NA MITA ZA TANESCO 19,RIMOTI 42 NA WAYA

▶︎
HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

▶︎
VILIO VYATAWALA KIFO CHA MZEE ONYANGO, PUMU NA PRESHA VYATAJWA KUWA SABABU

▶︎
BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

▶︎
AKAMATWA NA SHEHENA YA NYAYA ZA TANESCO MBEYA

▶︎
TANESCO YAANZA UKAGUZI WA MITA ZA UMEME KUDHIBITI UPOTEVU WA MAPATO

▶︎
MBARONI KWA KUKUTWA NA SHEHENA YA MALI YA TANESCO

▶︎
KUSIMAMA KWA UKARABATI MABWENI SONGEA GIRLS KWAONGEZA MSONGAMANO MABWENINI

▶︎
SONGEA: Wametuonyesha Mpango utakaobadilisha Mji wao.

▶︎
🔴#Live: NANDY na MUMEWE BILLNASS WATEMBELEA WODI ya WAZAZI SONGEA, MASTAA KIBAO WAWASINDIKIZA..

▶︎
TAZAMA TANESCO WALIVYOWANASA KUJIUNGANISHIA UMEME BILA KUFUATA UTARATIBU ARUSHA

▶︎
MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

▶︎
I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

▶︎
Mwanafunzi wa Songea Girls,Mwenye kipaji cha utangazaji,ndoto ya kuwa kama ALIYAAH wa Wasafi Media

▶︎
TAZAMA NAMNA AMBAVYO TANESCO IRINGA ILIVYOMKAMATA TUHUMIWA WA UHUJUMU UMEME

▶︎
RAIS DKT. SAMIA AKIWASILI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA SONGEA KWAJILI YA KUANZA ZIRA YAKE YA KIKAZI …

▶︎
