A - Z Sakata la Ras Inno Mikononi mwa Polisi
Ras Inno ni msanii mkongwe wa muziki wa miondoko ya Reggae, mtetezi wa haki za wabunifu ambaye pia ni Katibu wa Taasisi ya Mtandao wa Sekta Bunifu, au kwa kimombo Creative Industry Network Tanzania, (CINT). Mnamo asubuhi ya Agosti 30, 2022, iliripotiwa kwamba polisi mkoani Iringa walimkamata Ras Inno akiwa nyumbani kwake na kumpeleka katika kituo kikuu cha polisi Iringa na kisha kuachiwa mchana wa tarehe hiyo hiyo bila kufunguliwa mashtaka. Kukamatwa kwake kunatokana na kufananishwa na mtuhumiwa mwingine. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CINT, Ras Inno hakuruhusiwa kuiaga familia yake, alishambuliwa na kudhalilishwa akiwa katika gari la polisi lililompeleka kituoni na pia akiwa kituoni. CINT ilidai pia kwamba Ras Inno aliumia kidogo sehemu ya mdomoni. CINT pia iliripoti kwamba alipofikishwa polisi Ras Inno alishinikizwa kuimba baadhi ya nyimbo zake kama sehemu ya utambulisho wake. Pia, askari kituoni hapo wamelalamikiwa kumtishia kumyoa nywele zake aina ya rasta jambo ambalo CINT ilisema linadhalilisha imani yake. The Chanzo ilifanya mahojiano maalum na Ras Inno kuweza kufahamu zaidi kuhusu haya na mengineyo mengi. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Ado: Wanaodhani Tutamsahau Polepole na Wengine Waliotekwa Wanajidanganya

NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Mrisho Mpoto 'Mjomba' alipofunguka 'ya kutosha' kuhusu sanaa na soka

DAY 3.2:TUMIA NAFASI YAKO MWANAMKE ALIYEBEBA KUSUDI ILI MUNGU AKUTUMIE MAHALI ALIPOKUWEKA#loyshock

Mwanzo-Mwisho Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Tanzania kwa Mwaka 2026/27

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
![Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass](https://i.ytimg.com/vi/2l9eQV4hPGc/hq720.jpg?sqp=-oaymwEbCNAFEJQDSFryq4qpAw0IARUAAIhCGAG4AvcY&rs=AOn4CLBRp0qCD1I54KXG12JBpyDNo8kR7w&usqp=CCc)
Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass

#LIVE Bajeti Kuu ya Serikali Mwaka 2026/27 Inasomwa Bungeni na Waziri wa Fedha Balozi Khamis Omar
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/nsNMED63r_o/hq720.jpg?sqp=-oaymwEbCNAFEJQDSFryq4qpAw0IARUAAIhCGAG4AvcY&rs=AOn4CLDv9xLakyB1kEsY7JQjFk7MgV4mHg&usqp=CCc)
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]

The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School

Jaji Warioba Atoa Kauli Nzito Kuhusu Katiba na Ripoti ya Chande

GRAND WELCOME: Pope Leo XIV Receives Guard of Honour as King Felipe VI Greets Him in Madrid | AK1B

Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu

WAR IN PARLIAMENT!!! Listen To What Millie Odhi Told Ichungwa After He Called Sifuna Idiot Senator!

SLUČAJEVI X: PRIČE IZA REŠETAKA KPZ 'BIJELJINA' - 2018. GODINE

Ras Inno Nganyagwa Sitaki Nataka

Mikononi mwa polisi Iringa, kesi ya mchongo - Ras Inno

Simulizi ya mama aliyemshitaki mwanae kwa kushindwa kuwalea wajukuu zake

🔥Arrival Of John Mbadi, CS's& Dignitaries In Parliament

Samweli Mandoo - Limuhanga - Official Music Video

