Amani Daniel-Maisha Yetu ( Official Video )

Huu wimbo niliurekodi miaka ya nyuma kidogo, na sababu iliyonifanya nirekodi wimbo huu, ni kwamba, Siku moja nikiwa stand ya daradara tukiwa tumesimama na kijana mmoja hivi mtanashati tunasubiri usafiri gafla ilitokea gari ikapoteza mwelekoa na kutafata tulipokua tumesimama. Lilimgonga yule kijana tuliyekua tumesimama naye na kufa pale pale... ndipo nilipojua kuwa maisha ya mwanadamu ni ya muda kitambo... #GospelTz #Nyimbozainjiri