MENEJA RUWASA MATATANI KWA KUMDANGANYA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA|AOMBA RADHI MBELE YA WANANCHI
Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijin Wilaya ya Monduli Injinia Neville Msaki amemuomba radhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda mara baada ya kumdanganya kuhusu upatikanaji wa maji kwenye Kijiji cha Lendikinya Wilayani Monduli Mkoani Arusha. Kwenye Mkutano wa hadhara wa Mhe. Mkuu wa Mkoa Mjini Monduli, Meneja huyo alimueleza Mhe. Makonda kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama kwenye kijiji hicho suala ambalo lilipingwa na Mwananchi mkazi wa kijiji hicho. Mwananchi huyo aliyekuwa kwenye mkutano wa hadhara mpaka majira ya usiku amemueleza Mkuu wa Mkoa kuwa mradi wa maji uliojengwa kwenye kijiji cha Lendikinya ukitumia zaidi ya Milioni 800 hautoi maji kwa Mwaka mzima sasa na bado mamlaka ya Maji imekuwa ikiwapa bili za maji zinazokadiriwa kufikia Milioni 1-2 kwa Mwezi. Mara baada ya kubanwa na maswali ya Mhe. Paul Christian Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Meneja huyo wa Mamlaka ya Maji alikiri kutotembelea mradi huo kwa takribani miezi mitano sasa na hivyo kutokufahamu lolote kuhusu maendeleo ya mradi huo wa maji. Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa akisisitiza kuuchukia uongo kutoka kwa Watumishi na watendaji wa Mkoa wa Arusha na ameapa kuchukua hatua kali za kinidhamu kwa yeyote atakayebainika kumdanganya hasa katika masuala ya kuwatumikia wananchi na kutimiza majukumu yao ya kiutumishi kwenye ngazi mbalimbali ndani ya Mkoa wa Arusha.

#LIVE: MAKONDA AZUA BALAA ARUMERU, WEZI WAKAMATWA MUDU HUU, MOTO UNAWAKA 🙌🙌

KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"

🔴LIVE: MAKONDA AFANYA BALAA ZITO MONDULI, AONDOKA NA KIJIJI, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Wananchi wafika na Maji machafu kwenye mkutano wa Makonda Babati

"Tusileteane Ujinga Ujinga hapa, Kuanzia leo wewe sio Mkuu wa Idara" MAKONDA amtumbua Mkuu wa Idara

A-Z Video Ambayo RC Makonda Anadaiwa Kumdhalilisha Mtumishi Akisikiliza Kero za Wananchi Huko Ar...

MAKONDA AKASIRIKA na KUVUNJA MKUTANO! INJINIA APATA UGONJWA wa MOYO KISA MADENI na ANAIDAI SERIKALI

"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....

RC Makonda Ampa Makavu Mchungaji, Ambana Mkuu wa Wilaya "Kwanini Umefungia Kanisa?"

SIRI IMEFICHUKA! MAKONDA AMBANA MKURUGENZI, MADUDU ya KUTISHA na RUSHWA OFISI YA HALMASHAURI ARUSHA

CDU delegates have to be prompted to applaud – meanwhile, the AfD is pulling ahead!

🔴#LIVE: MAKONDA AKIWASHA ARUSHA! ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI OFISINI KWAKE NA KUZITATUA MUDA HUU

MILIONI 600 ZAIBIWA ARUSHA, MAKONDA ACHANGANYIKIWA, AWABADILIKIA VIONGOZI WAKE Yani MOTO UNAWAKA,.🙌🙌

ALIYENYANG'ANYWA BANGO na POLISI AMLIPUA OCD - ''ALIKUJA na KITENGE USIKU na ASKARI WENYE SILAHA''

MTIFUANO wa MAKONDA vs DIWANI MCHUNGAJI ULIOCHUKUA DK 47 -NI MTITI! WANANCHI WAMPIGA SPANA HADHARANI

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

Ila Arusha Noma: RC Makonda, Yani Jamaa Anawatoza Ushuru Anakula Yeye Peke Yake Halafu Bado Ana..

MAKONDA "Natoa Amri OCD Kamata Huyu Mwenyekiti ni Mwizi" SINA MUDA WA KUCHEKA na WALA RUSHWA,.🙌🙌

''WEWE UMESOMEA NINI? KUANZIA LEO NAKUPANDISHA CHEO - UTAKUWA MSAIDIZI WANGU'' - MAKONDA...

