LIVE: IBADA YA JUMAPILI - 31 MAY 2026

Kanisa la Dodoma Revival Church ni kanisa lenye nguvu za Roho Mtakatifu, lililoko Dodoma Mjini. Sisi ni sehemu ya Kanisa la Free Pentecosta Church of Tanzania (FPCT), Jimbo la Dodoma, Misheni ya Chamwino, Parishi ya Chamwino Dhamira yetu ni Kuhuburi injili ya Yesu Kristo katika kila taifa, kufanya wanafunzi na kusaidia wahitaji. 🙏 Mchungaji Rev. Elia Timothy Mathayo 📅 Ratiba Zetu za Kila Wiki: Ibada ya Jumatano Mafundisho ya Neno la Mungu Saa 10:30 Jioni – 12:00 Jioni Ibada ya Ijumaa Maombi na Maombezi Saa 10:30 Jioni - 12:00 Jioni Ibada ya Jumapili Ibada ya Neno la Mungu Saa 02:30 Asubuhi - Saa 6:00 Mchana 🎶 Karibu sana katika ibada zenye nguvu ya Roho Mtakatifu, mafundisho thabiti ya biblia. watu wote mnakaribishwa sana. 📍 Eneo: Area A - Jirani na uwanja wa ndege – Dodoma, Tanzania Tunakaribisha kujumuika nasi kwa ana kwa ana au kuungana nasi mtandaoni! 📲 Tufuate kwenye Mitandao ya Kijamii: Facebook | Instagram | YouTube | TikTok: @dodomarevivalchurch 📞 Kwa taarifa zaidi, jisikie huru kuwasiliana nasi kupitia; +255 715 353 527