Nape amvaa Tundu Lissu Bungeni kuhusu kumwita Rais Samia Mzanzibari
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amemvaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwa kukosoa baadhi ya mambo akkisema kkwamba mambo hayo yamefanywa na Rais Samia kwasababu ni Mzanzibari. Waziri Nape ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo ameeleza kuwa alitegemea chama chake kimkemee. Akizungumza Mkoani Manyara siku chache zilizopita Tundu Lissu alisema kama kusingekuwa na muungano Rais Samia Suluhu Hassan asingekuwa Rais wa Tanzania. "Bila miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Samia Suluhu Hassan asingekuwa anafukuza Wamasai, anafukuza sababu ya kuwa na muungano" ameongeza

#live : RAIS SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA, IKULU DAR

Théogène Manirakiza avuga ko yabonye ibimenyetso by'uko ashobora kugirirwa nabi | BBC News Gahuza

Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

TUNDU LISSU NI HATARI, AUCHAMBUA MUUNGANO MWANZO MWISHO, UZANZIBAR, TANGANYIKA IKO WAPI

LOP Joel Ssenyonyi Responds to Gen Muhoozi

PART 2: TUNDU LISSU AMUWASHIA MOTO MAKONDA/ ASHUGHULIKIWE/ WASITUTISHE/ NANI MACHAWA?

HECHE AFUNGUKA HATIMA YA LISSU GEREZANI.

MARIASPACES: SIRI IMEVUJA MIPANGO YA ULINZI MAANDAMANO77 WANAHARAKATI WATOA MSIMAMO(MWIGULU,KATAMBI)

Tundu Lissu asema ukweli mchungu wa Muungano wetu

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

TIMBWILI KALI BUNGENI, MZOZO WA KUTISHA/ MBUNGE WA PASSPORT KUINGIA ZANZIBAR AKATAA SIO MTANZANIA

Mambo yanayofichwa kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar- Lissu ahoji wako wapi Hanga na wenziwe?

INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!

#SIASA: TUNDU LISSU "MAKONDA HAKUDHULUMIWA NYUMBA"

TUNDU LISSU AKINUKISHA JIMBONI KWA SIMBACHAWENE, AIVAA VIKALI SERIKALI YA CCM, AITAKA KATIBA MPYA

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''

Mahojiano kamili ya Tundu Lissu na Zuhura Yunus

