Wakulima wa Zao la Tumbaku Chunya na Songwe Wanufaika na Msaada Kutoka Premium Active Tanzania
#Chunya Kampuni ya Premium Active Tanzania imekabidhi msaada wa Shilingi Milioni Arobaini na Saba na Laki Nane (47,800,000/=) kwa wakulima wa zao la tumbaku kwa kata Saba katika wilaya za Chunya na Songwe ili kuinua sekta ya kilimo Cha zao hilo. Hayo yameelezwa na meneja Niko layssos wakati akiwasiliaha taarifa kwa mgeni wa heshimamkuu wa Wilaya ya chunya saimoni Mayeka ambapo amesema lengo lao ni kuhakikisha wanaisaidia jamii kutatua changamoto Mmoja wa wakulima wa zao Hilo la tumbaku ameishukuru Serikali kwa namna wanavyotatua changamoto mbalimbali za wakulima huku akiendelea kwa kumshukuru kampuni ya primia kwa kuwajali wakulima Kwa niaba ya madiwani diwani nikson mwankuga ameishukuru campuni ya primia kwa kuendelea kuwasaidia wakulima katika maeneo Yao kwani wamekuwa msaada mkubwa katika kukuza sekta hiyo ya kilimo Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya chunya saimoni Mayeka ambaye ndiye mgeni wa heshima kwenye hafla hiyo amesema pamoja na changamoto zilizopo kwenye kilimo lakini Bado wakulima na makampuni wamesimamia vizuri msimu huu wa kilimo na hivyo kuleta wameyaona matunda katika kuzalisha zao Hilo Aidha DC Anasema wao kama Serikali ni kuhakikisha wanawawekea wakulima mazingira Rafiki ili waweze kuona tija kwenye kilimo Chao na kwamba wataendelea kuwasaidia wakulima ili wawezi kuzalisha mazao yao kwa wingi.

TUMBAKU:WHO HAIJAPINGA ZAO HILO/NI ZAO LA PILI KWA KUINGIZIA TANZANIA PESA ZA KIGENI

Kifahamu Kilimo Cha Tumbaku Tanzania

KIBALI CHA KUUZA MAZAO NJE YA NCHI NI LAZIMA-BASHE

IFAHAMU MBOLEA BORA YA KUKUZIA NA VIRUTUBISHO VYAKE KUTOKA YARA TANZANIA

London’s Best Street Food!! (1 Million Oysters a Year at Borough Market)

LEADERSHIP TEAM RETREAT

BIASHARA YA MAGENDO YA TUMBAKU MARA YAISTUA SERIKALI YAPELEKA MNUNUZI

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

TAZAMA WALICHOSEMA WAKULIMA BAADA YA KUUZA TUMBAKU SOKO LA KWANZA.

FAHAMU HISTORIA YA ZAO LA TUMBAKU NA AINA ZAKE

KILIMO CHA TUMBAKU CHUNYA

KIFAHAMU KILIMO CHA TUMBAKU KINACHOTAJWA KUWA CHA PESA ZAIDI YA VINGINE

Mkwawa Leaf Tobacco yazindua soko la ununuzi wa Tumbaku Wilaya ya Chunya

RC Homera Afungua Msimu wa Soko la Tumbaku Kijiji cha Biti Manyanga Kata ya Mafyeko wilayani Chunya

Soko la Tumbaku Chunya Mbeya

KUMENUKA! SERIKALI YAFUTA MIKUTANO YOTE YA VYAMA VYA SIASA, MAANDAMANO YA JULAI 7 KIZUNGUMKUTI!

Ecuador vs. Germany Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

Türkei – USA Highlights | Gruppe D, FIFA WM 2026 | sportstudio

Martha Karua breaks silence on Entebbe ordeal, details detention before deportation

