NYUMBA YA URITHI | Part 4

Mzee Chonde anamwachia mtoto wake Chilumba nyumba chakavu yenye siri kubwa. Lakini ana masharti matatu ambayo yatabadilisha maisha ya Chilumba milele. Je, Chilumba ataweza kuyashika masharti ya baba yake? Au tamaa ya pesa na mapenzi itamsababishia maangamizo? USISAHAU KUSUBSCRIBE NA KUBONYEZA KITUFE CHA KENGELE! 🔔 #NyumbaYaMfalme #StoryYaKusisimua #TanzaniaStories #HadithiZaKiswahili #Drama #Mapenzi #Bahati