TANROADS KUWEKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA MRADI WA IRINGA - KILOLO UNAKAMILIKA KWA WAKATI
Kufuatia kuanza kwa kusua sua kwa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Iringa hadi Kilolo yenye urefu wa kilometa 33.6, Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeingilia kati suala hilo na kuchukua hatua za makusudi ili kuhakikisha kasi ya utekelezaji wa mradi unaendana sawa na muda pamoja na mpango wa utekelezaji wa mradi huo ili kuhakikisha kwamba unakamilka kwa muda uliopangwa. Moja ya hatua zilizochukuliwa na Wakala (TANROADS) nikukutana na kufanya kikao cha pamoja na mkandarasi anayetekeleza mradi huo kampuni ya China Henan Engineering company pamoja na mhandisi mshauri kampuni ya RV Associates kutoka nchini India na kisha kuweka mikakati ya pamoja ili utekelezaji wa mradi uendane sawa na mpango wa awali wa utekelezaji wa mradi huo. Hayo yamesemwa Julai 09, 2024 na Mkurugenzi wa Miradi kutoka TANROADS Mhandisi Japherson Nnko alipotembelea mradi huo ambapo amesisitiza kuwa, moja ya sababu kubwa ya kuutembelea mradi huo ni kuona namna ya kuusukuma ili utekelezaji wake uende kwa kasi na haraka zaidi. #wizarayaujenzi

TANROADS IRINGA INAENDELEA NA UJENZI WA KUPANUA NA KUBORESHA BARABARA SEHEMU YA MLIMA KITONGA.

BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

TANROADS IRINGA YABORESHA MIFUMO YA MIZANI KUPUNGUZA FOLENI NA KUENDANA NA ONGEZEKO LA MAGARI

Serikali Mtandao - Mkoa wa Iringa Wilaya ya Kilolo na Mufindi

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

Barabara ya ByPass Kujengwa Iringa Kupitia Kihesa Mpaka Igumbilo | Asas Aeleza Mikakati

Shughuli za kiuchumi katika mji mdogo wa Ilula Iringa.

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

Jionee Uwezo wa Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) Kilolo - Iringa|Gwaride, Karate, Singe

UWANJA WA NDEGE WA IRINGA KUHUDUMIA ABIRIA 250,000 KWA MWAKA

RAIS SAMIA AMEANDIKA HISTORIA KUPITIA UJENZI WA BARABARA YA IRINGA (IPOGOLO) - KILOLO (KM 33.61)

TAZAMA POMBE AINA YA ULANZI ILIVYO LETA SHIDA MKOA WA IRINGA WATU WANASEMA KIWE KINYWAJI BORA

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

🇹🇿 Von Iringa nach Kilolo – die neue Straße im Zeitraffer

JOHN MBADI GETS BOOED DURING FINANCE BILL PRESENTATION AS RUTO HIDES IN FINLAND!

WAZIRI ULEGA AMSHUKIA VIKALI MSHAURI ELEKEZI KWA KUSABABISHA UCHELEWESHAJI WA MRADI WA BRT 4 – LOT 1

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

KUTOKA IRINGA MJINI STENDI YA IPOGOLO KUELEKEA MTAA WA KITANZINI KATIKA MANISPAA YA IRINGA #iringa

ARUSHA’S MEGA BUS TERMINAL IS REAL! BUT..... 😬

