Miaka 28 ya Biashara na Ujasiriamali Imenifunza Mambo Haya 7
Alianza na kikundi cha kuchangishana mtaji. Leo anasimamia matukio makubwa yanayohudhuriwa na viongozi wa kitaifa. Aliwezaje? Je, unaamini unaweza kuanza biashara bila mtaji mkubwa na ukafika mbali? Kwenye episode hii ya PawaPod, tunakutana na Eva Rugastian Shayo (Eva Specials/Eva Cocktail) kutoka Moshi ambaye alianza safari yake ya ujasiriamali akiwa na miaka 22 kupitia kikundi kidogo cha kuchangishana mtaji. Leo amejenga moja ya brand zinazokua kwa kasi katika huduma za catering, cocktail counters na event planning nchini Tanzania hadi kuaminiwa kusimamia sherehe za familia ya Rais wa Zanzibar. Utajifunza: ✔️ Jinsi ya kuanza biashara ukiwa na mtaji mdogo ✔️ Mbinu za kupata tenda na wateja wakubwa ✔️ Siri 3 zilizowafanya kuwa miongoni mwa kampuni bora za catering Moshi ✔️ Jinsi SACCOS ilivyosaidia kukuza biashara ✔️ Namna ya kuona fursa ndani ya changamoto ⏰ Timestamps 00:00 Utangulizi 01:13 Ndoto ya utotoni 04:00 Jinsi tulivyopata mtaji 06:15 Mbinu za kupata tenda 10:45 Kuzaliwa kwa UMADO 12:00 Siri 3 za mafanikio 15:30 Kuona fursa kwenye changamoto 17:00 SACCOS na ukuaji wa biashara 21:00 Safari ya Eva Cocktail 27:00 Event Planning na Ushers 28:45 Kusimamia sherehe za Rais wa Zanzibar 29:30 Ushauri kwa wajasiriamali 🔔 Subscribe sasa usikose simulizi za wafanyabiashara waliotoka sifuri hadi mafanikio makubwa Ungana Nasi Kwenye Mitandao ya Kijamii: Kama umependa elimu hii, usisite kusubscribe, kulike na kushare na wengine. Maoni yako ni muhimu sana kwetu! • YouTube: Scult Online TV • Instagram: https://www.instagram.com/pawapodpodc... • TikTok: https://www.tiktok.com/@pawapod?_r=1&... • TikTok: https://www.tiktok.com/@emanuel_walwa... Mgeni Wetu (Eva Specials): • Instagram: @eva_specials / @evers_tail 💡 Kama wewe ni mjasiriamali, mwanafunzi au unatafuta namna ya kuanza biashara, episode hii ni kwa ajili yako. #EvaSpecials #EvaCocktail #BiasharaTanzania #Ujasiriamali #PawaPod #MtajiWaBiashara #SACCOS

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

MIKOPO YA NYUMBA NA MAJENGO(MORTGAGE )-TANZANIA

Nilitumia WHEELCHAIR Kupanda Mlima Kilimanjaro Kuokoa Kampuni Yangu

“Je, Una Mpango wa Kupata Milioni 1 Kila Mwezi Bila Ajira?”

DKT. MWAKA ATOA SOMO KUHUSU WANAWAKE, NDOA, PUNGUZENI GUBU | WANAWAKE VIGEUGEU

Biashara 3 za Mtaji 100,000 – 500,000 Zisizohitaji Ujuzi (2026)

TAHARUKI : AMUUWA KAKA YAKE KWA KUMCHOMA VISU KISA UMEME ULIKUWA UMEISHA

KIJANA MWENYE NDOTO ZA KUWA BILIONEA KWA UFUGAJI WA KUKU

Wengi Wanashindwa Kwenye Biashara Kwa Sababu HII Na wewe usiwe mmoja wao - Dr Joel Nanauka

NILIBADILI DINI KWA AJILI YAKE ILI NIMUOE, AKANIIBIA PESA ZANGU ZOTE AKAKIMBIA NA RAFIKI YANGU

Can Bananas Make You As Happy as money? || Dr. Bundi Karau

EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU

Kipi Bora Mayai Mengi Vikapu Vingi Au Mayai Mengi Vikapu Vichache? | CPA Busara

DK 30 TU ZA KUKUFANYA UWIN SANA🏆MAISHA YA MTAA 🔥 NAMNA HII | Nondo Za Mwl. Cosmas Madulu

Mindset and accountability with Mwl. Arbogast Kanuti | EPISODE 01

HEBU TUMSAIDIA USHAURI HUYU DADA KOSA LAKE LIKO WAPI HASA?

NAMNA YA KUBORESHA MNYORORO WA THAMANI || Misana Manyama

Mifuko 6 ya UTT AMIS — Mfuko Upi Utakuingizia Faida Zaidi? | CFE. Victor Mwambene

NJIA PEKEE YA KUMUADABISHA MTU ANAYEKUSALITI NI KUMFANYIA MAMBO HAYA MAWILI

