Mbunge wa Jimbo la Gando aelezea siri ya Mafanikio

Matokeo ya Mitihani yaliyotangazwa hivi karibuni Skuli ya Fidel Castro ilichukua nafasi ya Kwanza kwa ZANZIBAR na Kitaifa ni Skuli ya 78 kati ya Skuli 4141 kwa Tanzania . Mafanikio hayo yalipelekea kuandaa Sherehe Maalum ya Pongezi. Mbunge wa Jimbo la Gando alikua Mgeni Rasmi ambapo pamoja na Mambo mengine aliwataka Wanafunzi kujenga tabia ya kujiamini ili kufikia Malengo yao.