Jinsi ya kuchop na kusample wimbo na kutengeneza beat kama s2kizzy

Watch this fl studio tutorial learn how to chop and sample some parts of any song to create your own beat idea like s2kizzy .Also you will learn some cool tricks for sample choping and making beats on fl studio Katika video hii utajifunza jinsi ya kuchop na kusample sehemu ya wimbo na kutengeneza beat nyingine kama ambavyo producer s2kizzy amefanya kwenye nyimbo ya pumzi ya mwisho ya vanessa mdee akiwa na joh makini na casper nyovest na kwenye nyimbo ya zamani ya rayvanny inayopatikana katika album ya sound from africa pia utajifunza mbinu mbali mbali zitakazo kurahisishia jinsi ya kutengeneza beat katika fl studi WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/DXIkeyPjvCJ... facebook:   / aroncademy-102257078382850   Instagram:   / aroncademy   Twitter:   / aronbeatz