WAWAKILISHI WA TANZANIA BARA KATIKA MASHINDANO MAKUBWA ZAIDI YA QUR'AAN AFRIKA WAPATIKANA.
Safari ya kuelekea katika Mashindano Makubwa Zaidi ya Qur'aan Barani Afrika imeanza tarehe 15/3/2020 siku ya jumapili, ulikuwa na mchakato wa kumtafuta muwakilishi wa Tanzania Bara, mchakato huo ulianzia Masjid Ihsaan maarufu Veternary uliyopo Temeke jijini D.s.m kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 7 mchana ikiwa ni raundi ya kwanza iliyokuwa na washiriki 27na atimae kupatikana washindi 10 walioingia mzunguko wa pili, Na mzungu huo iliendelea Pale Masjid Nuryaakin uliyopo Temeke Mtaa wa Yombo kwa wale washiriki 10 akitafutwa mshindi mmoja, na Omar Abdallah Salim kutoka Madrasat Raudhwa Temeke.akiibuka mshindi na kuwa muwakilishi wa Tanzania bara na Taasisi ya Al-Hikma Foundation pia ikiwakilishwa na Omar Mohamad Seif .

▶︎
#LIVE 🔴 MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR'AN CHINI YA BI AISHA SURURU

▶︎
المتسابق عمر عبدالله سالم من تنزانيا الدورة 39

▶︎
Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴 LIVE DARSA: Kujitambua wewe mwenyewe (Self-Awareness)

▶︎
Tanzania, Look What Kind of Country It Is! Markets, Streets and Life 430 🇹🇿

▶︎
KIJANA WA KITANZANIA MWENYE REKODI NZURI MASHINDANO YA QUR'AN KIMATAIFA - OMAR ABDALLAH SALIM

▶︎
HUYU NDIE ABU JAHLI _ BABA LA WAJINGA | Simulizi Ya Abu Jahli - PART 01.

▶︎
#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA )

▶︎
MASHINDANO YA QUR'AN TAASISI YA BI AISHA SURURU -DIAMOND JUBILEE 02/04/2023

▶︎
OMAR ABDALLAH SALIMU MTANZANIA BARA ALIVYOZITUMIA DAKIKA 10 KATIKA KUISOMA QUR'AN l KWA MKAPA

▶︎
LATEEF FOUNDATION QURANIC COMPETITION AT ILORIN

▶︎
#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA)

▶︎
MKENYA AIBUKA MSHINDI WA KWANZA MASHINDANO YA DUNIA YA QURAN TUKUFU 2026

▶︎
MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI

▶︎
MSHIRIKI KUTOKA AL HIKMA FOUNDATION

▶︎
KISA CHA ALIYEKWENDA KWA MGANGA KWA AJILI YA MWANAMKE // SHEIKH OTHMAN MAALIM

▶︎
KISA CHA SWAHABA ALIYETEKWA NA JINI - SHEIKH HASHIM RUSAGANYA

▶︎
#LIVE: MASHINDANO YA QUR'AAN | MCHUJO WA JUZUU 30

▶︎
GEEDFADHI#37– Sheekh Cabdixakiim Sheekh Cali Suufi: Sidee SCW Rabbi loo caabudaa cabsi la'aan?

▶︎
Sidee Loo Gaaraa Hadafyada Nolosha? Siraha Guusha 2025 #sheekhmustafe

▶︎
