WAWAKILISHI WA TANZANIA BARA KATIKA MASHINDANO MAKUBWA ZAIDI YA QUR'AAN AFRIKA WAPATIKANA.

Safari ya kuelekea katika Mashindano Makubwa Zaidi ya Qur'aan Barani Afrika imeanza tarehe 15/3/2020 siku ya jumapili, ulikuwa na mchakato wa kumtafuta muwakilishi wa Tanzania Bara, mchakato huo ulianzia Masjid Ihsaan maarufu Veternary uliyopo Temeke jijini D.s.m kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 7 mchana ikiwa ni raundi ya kwanza iliyokuwa na washiriki 27na atimae kupatikana washindi 10 walioingia mzunguko wa pili, Na mzungu huo iliendelea Pale Masjid Nuryaakin uliyopo Temeke Mtaa wa Yombo kwa wale washiriki 10 akitafutwa mshindi mmoja, na Omar Abdallah Salim kutoka Madrasat Raudhwa Temeke.akiibuka mshindi na kuwa muwakilishi wa Tanzania bara na Taasisi ya Al-Hikma Foundation pia ikiwakilishwa na Omar Mohamad Seif .

#LIVE 🔴 MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR'AN CHINI YA BI AISHA SURURU
▶︎

#LIVE 🔴 MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR'AN CHINI YA BI AISHA SURURU

المتسابق عمر عبدالله سالم من تنزانيا الدورة 39
▶︎

المتسابق عمر عبدالله سالم من تنزانيا الدورة 39

Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴 LIVE DARSA: Kujitambua wewe mwenyewe (Self-Awareness)
▶︎

Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴 LIVE DARSA: Kujitambua wewe mwenyewe (Self-Awareness)

Tanzania, Look What Kind of Country It Is! Markets, Streets and Life 430 🇹🇿
▶︎

Tanzania, Look What Kind of Country It Is! Markets, Streets and Life 430 🇹🇿

KIJANA WA KITANZANIA MWENYE REKODI NZURI MASHINDANO YA QUR'AN KIMATAIFA - OMAR ABDALLAH SALIM
▶︎

KIJANA WA KITANZANIA MWENYE REKODI NZURI MASHINDANO YA QUR'AN KIMATAIFA - OMAR ABDALLAH SALIM

HUYU NDIE ABU JAHLI _ BABA LA WAJINGA  |  Simulizi Ya Abu Jahli - PART 01.
▶︎

HUYU NDIE ABU JAHLI _ BABA LA WAJINGA | Simulizi Ya Abu Jahli - PART 01.

#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA )
▶︎

#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA )

MASHINDANO YA QUR'AN TAASISI YA BI AISHA SURURU  -DIAMOND JUBILEE 02/04/2023
▶︎

MASHINDANO YA QUR'AN TAASISI YA BI AISHA SURURU -DIAMOND JUBILEE 02/04/2023

OMAR ABDALLAH SALIMU MTANZANIA BARA ALIVYOZITUMIA DAKIKA 10 KATIKA KUISOMA QUR'AN l KWA MKAPA
▶︎

OMAR ABDALLAH SALIMU MTANZANIA BARA ALIVYOZITUMIA DAKIKA 10 KATIKA KUISOMA QUR'AN l KWA MKAPA

LATEEF FOUNDATION QURANIC COMPETITION AT ILORIN
▶︎

LATEEF FOUNDATION QURANIC COMPETITION AT ILORIN

#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA)
▶︎

#LIVE: MCHUJO WA JUZUU 30, KUMTAFUTA MWAKILISHI WA TANZANIA BARA (AL-HIKMA)

MKENYA AIBUKA MSHINDI WA KWANZA MASHINDANO YA DUNIA YA QURAN TUKUFU 2026
▶︎

MKENYA AIBUKA MSHINDI WA KWANZA MASHINDANO YA DUNIA YA QURAN TUKUFU 2026

MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI
▶︎

MWENYE DEGREE 9 ACHUKUA FOMU YA USPIKA, NI MTUMISHI WA SERIKALI

MSHIRIKI KUTOKA AL HIKMA FOUNDATION
▶︎

MSHIRIKI KUTOKA AL HIKMA FOUNDATION

KISA CHA ALIYEKWENDA KWA MGANGA KWA AJILI YA MWANAMKE // SHEIKH OTHMAN MAALIM
▶︎

KISA CHA ALIYEKWENDA KWA MGANGA KWA AJILI YA MWANAMKE // SHEIKH OTHMAN MAALIM

KISA CHA SWAHABA ALIYETEKWA NA JINI - SHEIKH HASHIM RUSAGANYA
▶︎

KISA CHA SWAHABA ALIYETEKWA NA JINI - SHEIKH HASHIM RUSAGANYA

#LIVE: MASHINDANO YA QUR'AAN | MCHUJO WA JUZUU 30
▶︎

#LIVE: MASHINDANO YA QUR'AAN | MCHUJO WA JUZUU 30

GEEDFADHI#37– Sheekh Cabdixakiim Sheekh Cali Suufi: Sidee SCW Rabbi loo caabudaa cabsi la'aan?
▶︎

GEEDFADHI#37– Sheekh Cabdixakiim Sheekh Cali Suufi: Sidee SCW Rabbi loo caabudaa cabsi la'aan?

Sidee Loo Gaaraa Hadafyada Nolosha? Siraha Guusha 2025 #sheekhmustafe
▶︎

Sidee Loo Gaaraa Hadafyada Nolosha? Siraha Guusha 2025 #sheekhmustafe

MCHINJAJI HUYU AMELAANIWA NA ALLAH (S.W) - SHEIKH NURDEEN KISHK
▶︎

MCHINJAJI HUYU AMELAANIWA NA ALLAH (S.W) - SHEIKH NURDEEN KISHK