Daktari aliyegundua na kumtibu mgonjwa wa kwanza wa UKIMWI Tanzania
Imetimia miaka 40 sasa tangu kugundulika kwa ugonjwa wa UKIMWI ambao uliingia Afrika Mashariki mwaka 1983. Callixte Twagirayezu alikua daktari aliyemtibu mgonjwa wa kwanza kabisa wa virusi vya UKIMWI. Maelfu ya watanzania walipoteza maisha, huku ikiwa vigumu kuweza kukabiliana nao kutokana na mila potofu. Katika mahojiano na BBC, daktari huyu ambaye kwa sasa ana miaka 93 anasema kilikuwa miongoni mwa vipindi vigumu kuwahi kushuhudia maishani mwake. ✍ @mcdavid_nkya_ 🎥 Bosha Nyanje #bbcswahili #tanzania #HIV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

▶︎
Mahojiano Daktari-Mgonjwa

▶︎
UPI UMUHIMU WA KUPIMA WINGI WA VIRUSI VYA UKIMWI KWA MTU MWENYE MAAMBUKIZI?

▶︎
Kidum: Mwanamuziki asiyechuja Afrika Mashariki

▶︎
UKOMBOZI WA FIKRA ZA MWAFRIKA - Denis Mpagaze

▶︎
Keir Starmer ajiuzulu baada ya miaka miwili madarakani

▶︎
"MIMI SIO MWANAMKE WALA MWANAUME | SINA JINSIA" Mgombea UWT Afunguka Kwenye Clouds 360

▶︎
#TBC: HOTUBA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI YENYE MAAGIZO

▶︎
MCL DOCTOR S01EP05: JINSI YA KUJILINDA NA HIV BAADA YA KUTEMBEA NA MUATHIRIKA

▶︎
UKWELI KUHUSU MIKALA WA THE LOST TWINS ,AMEKUFA ,AMEPOTEA ,MTANGA ASIMULIA YOTE

▶︎
Safari ya Daktari bingwa wa kike wa upasuaji Tanzania

▶︎
#MuhimbiliTv# Fahamu kuhusu matumizi sahihi ya dawa za ARV

▶︎
France vs. Iraq | 2026 FIFA World Cup Highlights | MAGENTA TV

▶︎
Duru ya kwanza ya mazungumzo ya Marekani na Iran yahitimishwa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
'Vaccine injuries are real...': Parents expose mRNA COVID ‘vaccine lies’ in chilling testimony

▶︎
HATARI: Waziri Mkuu Kataja Mikoa Inayoongoza kwa UKIMWI

▶︎
Italy's Meloni Slams Trump After He Claims She 'Begged' Him For a Photo | Vantage on Firstpost

▶︎
Kijiji kilichoathirika zaidi na UKIMWI kipindi hicho

▶︎
خطرناکترین زمان مصرف دارو فشار خون — دکترخوب

▶︎
