RC Pwani akerwa na kusuasua kwa ujenzi wa daraja

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo amechukizwa na utendaji kazi wa mkandarasi aliyepewa zabuni ya ujenzi la daraja la Mbuchi ambalo fedha zake tayari zimeshatolewa takribani Bilioni mbili huku hadi sasa likiwa bado halijafikia popote katika ujenzi huo.