Kanisa la Gwajima Lapitiwa na Bomoa Bomoa
SUBSCRIBE NOW / uwazi1 KANISA la Ufufuo na Uzima lililopo Mbezi Inn linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima limebomolewa. Nyumba hiyo ya ibada ambayo pia ilikuwa ikitumika kama kituo cha maombezi imebomolewa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads). Imeelezwa kanisa hilo limejengwa ndani ya hifadhi ya Barabara ya Morogoro ya mita 121.5. Kwa mujibu wa waumini wa kanisa hilo, pia limekuwa likitumika kama kituo cha kufundishia wachungaji limebomolewa jana jioni hali iliyosababisha waumini wa Kanisa hilo kusalia nje. Vitu vikiwa nje na baadhi ya waumini wakiendelea na maombi nje. Usipitwe na Matukio, Install Global Publishers App Mmoja wa waumini ambaye hakutaka kujitambulisha kwa madai si msemaji, amesema kanisa leo limebomolewa lakini injili inaendelea kuhubiriwa kama kawaida . “Tunaendelea na huduma na kesho tutakuwa na ibada itakayoanza saa kumi jioni “amesema. Muumini mwingine pia amesema hali ilikuwa mbaya jana wakati kanisa hilo linabomolewa kwani waliwakuta wakiwa katika maandalizi ya kufanya maombi. Walifika jana wakatuambia tutoe vitu, ilibidi tuache kufanya maandalizi tukatoa vitu” amesema muumini huyo huku akikataa kutajwa jina kwa kuwa si msemaji mkuu wa kanisa hilo. Subscribe, Like, Comment na Share kwa wengine... Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

TAHARUKI: CCTV YANASA MABAUNSA WAKIDAIWA KUONDOKA NA MAGETI, WANANCHI WAILILIA SERIKALI IINGILIE

MANENO MAZITO ya ASKOFU GWAJIMA Mbele ya RAIS SAMIA "TUNA MAHABA na WEWE"

KANISA WANALOSALI WAUMINI WA GWAJIMA NA KKAM LABOMOLEWA, POLISI WAWEKA ULINZI

Mwerekera wa ũteti Bũrũri-inĩ; #Kĩmũrĩ

Ndesamburo Tragedy; Gwajima's Foam for RC Mrisho Gambo Starts 'War'

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

"KESHO TUTASALI KANISA KATOLIKI" ASKOFU WA KANISA LA GWAJIMA MWANAMAPINDUZI AFUNGUKA BAADA YA IBADA

Hivi Ndivyo Watu Wanavyoibiwa Nyota Zao Bila Kujua Na Kushindwa Kufanikiwa - Askofu Josephat Gwajima

KITENGE, HANDO WAMVAA ASKOFU GWAJIMA - "BADO HATUJASAHAU, LABDA TUKUKUMBUSHE"

Sakata la Madawa ya Kulevya; Askofu Gwajima Amjibu Makond na Kumtumia Ujumbe Rais Magufuli

BREAKING: Sifuna explodes.

UTACHEKA! DOTTO MAGARI ASAHAU MTOTO WAKE wa MWISHO - ''SINA BODIGADI NINA KISU PEMBENI''....

"WAMEWAHADAA WATANZANIA" - MAMBO MATANO ya MBUNGE ADO KUELEKEA BAJETI KUU ya SERIKALI..

Jibu la Gwajima Juu ya Kuhusika Biashara ya Madawa ya Kulevya

WAUMINI WA GWAJIMA WAMWAGA MACHOZI WAKISALI UKUMBINI BAADA YA KANISA KUVUNJWA, POLISI WAIBUKA TENA

GWAJIMA: "Marufuku Kulia Kwenye Msiba wa Mama Yangu"

BREAKING: Immediate GSU changes announced in Kenya

The powerful prayer for danger that BISHOP GWAJIMA prayed on SUNDAY has caused a stir.

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

