BARAZA LA MADIWANI MTWARA MANISPAA WAHOJI KUSUA SUA KWA MRADI WA TACTIC
Baraza la Madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani limeonesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji ya Tanzania (TACTIC), huku likitoa pendekezo la kusitisha mkataba kwa mkandarasi huyo endapo ameshindwa kufanya hivyo na kutafutwa kwa mkandarasi mwingine mwenye uwezo na atakaye tekeleza mradi huo kwa kasi. Hatua hiyo imekuja wakati wa kikao cha baraza hilo kilicholenga kuwasilisha taarifa za maendeleo ya kata na kupokea taarifa za kamati mbalimbali, maswali ya papo kwa hapo ambapo katika baraza hilo sakata la kusuasua kwa mradi huo likichukuwa nafasi ambapo madiwani mbalimbali wamehoji juu ya mradi huo akiwemo diwani wa kata ya Magomeni Lameck Mraponi pamoja na Diwani wa kata ya Tandika ndugu Haruni Haruni.

#TBC1: WEKEZA TANZANIA: KUMEKUCHA BANDARI YA MTWARA BAADA YA UWEKEZAJI

DC MWAIPAYA AAGIZA KUTENGWA FEDHA KUKARABATI MJI MKONGWE MIKINDANI

Niederlande – Marokko Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

HATIMAE WANANCHI WA MNAZIMMOJA KATA YA MITENGO WAPATIWA UMEME

What do young Kenyans really want? - World Questions, BBC World Service

Germany vs. Paraguay Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

Full speech by Sonko at the National Assembly on Diomaye following the adoption of the law

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

BARABARA YA MBAE-MJI MWEMA SAMIA CITY YAANZA KUCHONGWA

የሳሕል ስነ-ልቦና ቅዠት እና የኤርትራ ቀውስ- በአቶ በጌታቸው ረዳ @ethiopiannewsagency

Netherlands vs. Morocco Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

ISHUSHO Y'UMUNSI: OPERATION YO GUHANURA DRONE ZOSE ZARI MU KIRERE MINEMBWE, M23 MU MAREMBO YA PINGA

KISIWA MGAO KUTUMIA ZAIDI YA BILIONI 400

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

Emergency medical Team Rushed To Statehouse After Ruto Received Shocking Bad News

SIRI YA BANDARI YA MTWARA KUFANIKIWA KIBIASHARA

We thought Meru is serious until we landed in Weitethea🔥🔥🔥🔥

