WALITAMANI MAISHA YA MWENZAO BAADA YA KUFUKUZWA KAZI UGAIBUNI

WALITAMANI MAISHA YA MWENZAO BAADA YA KUFUKUZWA KAZI UGAIBUNI #simulizizamaisha #simulizi #simulizizaaraki #simulizizasauti Je ni jambo gani liliwafika wasichana hao wawili Baada ya kufika Omani... Amina: "Natamani ningekuwa kama Leila. Mwenzetu amejenga nyumba na ana biashara yake, lakini mimi nimerudi na nguo na iPhone tu, tena sijamaliza hata mkataba." Asma akashusha pumzi ndefu. Asma: "Hata mimi natamani ningemsikiliza Leila. Nilianza kutoka na boss wangu... mwisho wa siku mke wake akagundua. Nikafukuzwa kazi na kurudishwa nyumbani."