WAZIRI WA ULINZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MEJA JENERALI GIMONGE (MSTAAFU

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo Machi 13, 2024 ameongoza Waombolezaji kuaga Mwili wa Marehemu Meja Jenerali Christopher Keraryo Gimonge (Mstaafu) katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo Jijini Dar Es salaam. Akitoa salamu za rambirambi, Waziri Stergomena Tax aliwasilisha salaam za pole toka kwa Amri Jeshi Mkuu, Mhe Daktari Samia Suluhu Hassan,kwa kusema kuwa kuwa, Serikali pamoja na Jeshi limepoteza Kamanda na Kiongozi muhimu kwani wakati wa uhai wake, marehemu alilitumikia Jeshi katika nafasi mbalimbali kwa mafanikio makubwa ambapo ametoa wito wa kuiga yote mambo mema na uchapakazi aliounyesha marehemu Meja Jenerali Gimonge (Mstaafu) Viongozi wengine waliohudhuria tukio hilo ni pamoja na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, Luteni Jenerali Salum Haji Othman, Wakuu wa Majeshi Wastaafu, Majenerali, Maafisa Wakuu, Maafisa Wadogo, Askari pamoja na waombolezaji, ambapo mwili wa Meja Jenerali Gimonge umesafirishwa leo kwenda Mkoani Mara kwa maziko. #wizarayaulinzi #jwtz #jkt

NDANI ya KAMBI ya JESHI la JWTZ - JENERALI MKUNDA ALIVYOWAAGA KIJESHI MAAFISA JENERALI WASTAAFU...
▶︎

NDANI ya KAMBI ya JESHI la JWTZ - JENERALI MKUNDA ALIVYOWAAGA KIJESHI MAAFISA JENERALI WASTAAFU...

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

WAZIRI WA ULINZI ABANWA BUNGENI, WANAJESHI KUKAA KAMBINI MIAKA 6 BILA KUOA/KUOLEWA
▶︎

WAZIRI WA ULINZI ABANWA BUNGENI, WANAJESHI KUKAA KAMBINI MIAKA 6 BILA KUOA/KUOLEWA

FUNERAL OF MAJ. GEN. MBUGE IN BUTIAMA / DEPUTY MINISTER SAGINI LEADS HUNDREDS OF MOURNERS
▶︎

FUNERAL OF MAJ. GEN. MBUGE IN BUTIAMA / DEPUTY MINISTER SAGINI LEADS HUNDREDS OF MOURNERS

Ziara ya Mhe Waziri Kwandikwa Alipotembelea Kamandi ya Land Force
▶︎

Ziara ya Mhe Waziri Kwandikwa Alipotembelea Kamandi ya Land Force

JENERALI MKUNDA ALIVOUPIGIA SALUTI MWILI wa JENERALI MBUGE UKIWA KWENYE JENEZA...
▶︎

JENERALI MKUNDA ALIVOUPIGIA SALUTI MWILI wa JENERALI MBUGE UKIWA KWENYE JENEZA...

TAZAMA GWARIDE NA MIZINGA 21 YA HESHIMA KWA HAYATI DKT. JOHN POMBE NYUMBANI KWAKE CHATO
▶︎

TAZAMA GWARIDE NA MIZINGA 21 YA HESHIMA KWA HAYATI DKT. JOHN POMBE NYUMBANI KWAKE CHATO

JENERALI MKUNDA - CHALAMILA na WAZIRI TAX WALIVYOFIKA KUUAGA MWILI wa JENERALI MBUGE LUGALO...
▶︎

JENERALI MKUNDA - CHALAMILA na WAZIRI TAX WALIVYOFIKA KUUAGA MWILI wa JENERALI MBUGE LUGALO...

Waziri Dkt. Tax Atembelea Makao Makuu ya Jeshi
▶︎

Waziri Dkt. Tax Atembelea Makao Makuu ya Jeshi

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
▶︎

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

MKUU WA MAJESHI ASHUHUDIA UWEZO WA ASKARI WAPYA WAKIRUKA VIKWAZO WAKATI WA KUFUNGA MAFUNZO YAO
▶︎

MKUU WA MAJESHI ASHUHUDIA UWEZO WA ASKARI WAPYA WAKIRUKA VIKWAZO WAKATI WA KUFUNGA MAFUNZO YAO

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA
▶︎

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA

Mwanzo Mwisho Historia na Utata wa Mauaji ya IMRAN KOMBE Mkurugenzi wa Zamani wa USALAMA wa TAIFA
▶︎

Mwanzo Mwisho Historia na Utata wa Mauaji ya IMRAN KOMBE Mkurugenzi wa Zamani wa USALAMA wa TAIFA

RAIS SAMIA ALIVYOWATUNUKU NISHANI YA MIAKA 60 MAKAMNDA JWTZ
▶︎

RAIS SAMIA ALIVYOWATUNUKU NISHANI YA MIAKA 60 MAKAMNDA JWTZ

JE UNAMJUA JENERALI MAYUNGA MTI MKAVU
▶︎

JE UNAMJUA JENERALI MAYUNGA MTI MKAVU

#LIVE​ : MSAFARA MWILI WA RAIS MAGUFULI UKIPITISHWA MITAA  YA DODOMA MUDA HUU - MARCH 22, 2021
▶︎

#LIVE​ : MSAFARA MWILI WA RAIS MAGUFULI UKIPITISHWA MITAA YA DODOMA MUDA HUU - MARCH 22, 2021

CHEKI MAAJABU YALIYOTOKEA MSAFARA WA RAIS WA MSUMBIJI, RAIS SAMIA ALICHOKIFANYA
▶︎

CHEKI MAAJABU YALIYOTOKEA MSAFARA WA RAIS WA MSUMBIJI, RAIS SAMIA ALICHOKIFANYA

Waziri wa Ulinzi na JKT Afunga Kozi ya Ukamanda na Unadhimu, CSC Duluti, Arusha
▶︎

Waziri wa Ulinzi na JKT Afunga Kozi ya Ukamanda na Unadhimu, CSC Duluti, Arusha

WAZIRI WA ULINZI NA JKT MHE  DKT HUSSEIN MWINYI ALIVYOKABIDHIWA VIFAA VYA KIJESHI KUTOKA MAREKANI
▶︎

WAZIRI WA ULINZI NA JKT MHE DKT HUSSEIN MWINYI ALIVYOKABIDHIWA VIFAA VYA KIJESHI KUTOKA MAREKANI

#TANZIA  WAZIRI WA ULINZI NA JKT AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA BRIGEDIA JENERALI CHAKILA
▶︎

#TANZIA WAZIRI WA ULINZI NA JKT AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA BRIGEDIA JENERALI CHAKILA