RAIS MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, ASEMA UTAIMARISHA MAANDALIZI YA AFCON 2027
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameutembelea mradi wa Mji wa AFCON Fumba uliopo Mkoa wa Mjini Magharibi. Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 14 Aprili 2026, akiambatana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Riziki Pembe Juma, pamoja na wadau wa mradi wa AFCON Fumba Zanzibar. Katika ziara hiyo, Rais Dkt. Mwinyi amekagua maeneo mbalimbali ya uwanja huo wa kisasa wa AFCON unaojengwa na kampuni ya ORKUN GROUP ya Uturuki, unaotarajiwa kutumika kwa michuano ya AFCON mwaka 2027 itakayofanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki: Kenya, Uganda na Tanzania. Aidha, Rais Dkt. Mwinyi ametembelea na kukagua miundombinu inayotarajiwa kujengwa kuzunguka uwanja huo, ikiwemo hospitali, barabara, migahawa, maduka makubwa (mall) pamoja na huduma nyingine muhimu zitakazouzunguka mji huo wa kisasa. Uwanja huo unakadiriwa kuchukua watazamaji elfu 35, ukiwa na viwango vya ubora vinavyokubalika na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).

RAIS MWINYI AWAALIKA WAWEKEZAJI WA KIARABU ZANZIBAR, ASEMA FURSA NI NYINGI NA MAZINGIRA NI RAFIKI

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

Ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi na Soko la Soko Matola Jijini Mbeya Washika Kasi

UWANJA WA AFCON FUMBA WAZIDI KUNG^AA KAMATI YARIDHISHWA NA HATUA ILIYO FIKIWA

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

UWANJA WA ARUSHA KAMA ULAYA, WAFIKIA ASILIMIA 83,.

HII HAPA HALI YA VIWANJA VITAKAVYO TUMIKA AFCON 2027 TANZANIA, UWANJA WA ARUSHA UTAKUSHANGAZA.......

UJENZI wa UWANJA ARUSHA, MABILIONI YAMELIWA? MSIGWA AFICHUA UKWELI WOTE

EXCLUSIVE: MPAKA KWENYE UWANJA MPYA UNAOJENGWA ZANZIBAR/NI LEVO ZA AFCON KABISA.

This is Ocean Galleria Mall in Tanzania, The Largest Waterfront Mall in Eastern Africa

🔴LIVE : BAO LA ASUBUHI | ZANZIBAR HERO KUINGIA KAMBINI

KISA CHA NABII SULEIMAN BIN DAUD (A.S) | Tajiri Kuliko Watu Wote Duniani Sheikh Othman Maalim #king

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

FIinaly review fumba port

TANZANIA KUOMBA KUWA MWENYEJI WA KOMBE LA DUNIA, MSIGWA AFUNGUKA

GPS: IRAN yaishambulia ISRAEL, wananchi washerehekea TRUMP amtaka NETANYAHU asilipize KISASI

#C.RONALDO ALIFIKA NA KUSHANGAZWA NA UBUNIFU WA ASILI. Ep23

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse

EXCLUSIVE NA RAIS HUSSEIN MWINYI: SIRI WIZARA 4 KUWA WAZI/ SIMBA AU YANGA? / UMILIKI ARDHI ZANZIBAR

