KUTOKA KUWA NESI HADI KUMILIKI KITUO CHAKE CHA AFYA AKIWA NA MIAKA 35 TU
Leo kwenye exclusive interview tunakukutanisha na mrembo Paskalinah mwenye umri wa miaka 35 ambaye aliamua kuacha kazi serikalini na kuamua kuanzisha kituo chake cha kutoa huduma ya afya kilichogharimu zaidi ya milioni 50 ambazo zimetokana na jasho lake maana alianza kutunza na kujinyima kwa muda mrefu lengo ikiwa ni kutimiza hiyo ndoto yake Paskalinah anaeleza kuwa ameamua kuanzisha kituo hicho kutokana na msukumo mkubwa alioupata baada ya changamoto ya kiafya iliyomkumba mtoto wake ndo akaamua kuanzisha kituo hicho kama kulipa fadhira kwa Mwenyezi Mungu na kusaidia jamii inayomzunguka Haya pamoja na changamoto nyingi alizozipitia mpaka hatua hii ameeleza yote kwenye exclusive interview ikiwemo kupoteza zaidi ya milioni 30 katika uwekezaji wa awali lakini hiyo haikumkatisha tamaa ya kuzidi kupambana

አፈላልጌ ያገኘኋት ‘የባሌ ሚስት’ መጨረሻ! ከብዙ ይቅርታ በኋላ የቆረጥኩብት ምክንያት Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

MWANAFUNZI ALIEACHA CHUO, NA KUTUMIA ADA YA WAZAZI KUUZA VIATU BILA WAO KUJUA HADI SIKU YA MAHAFALI

Dr. Muganga yakunamizza akakiiko akasunsula Baminisita - Dr. Sam Kazibwe aleese bwiino #Zuukuka

ለትዳር አጋራችሁ ምን ያህል ጊዜ ይቅርታ ታደርጋላችሁ? ይህ የእኔ ያልተነገረው ታሪኬ ነው! Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

VIDEO ILIYO-TREND WATANGANYIKA KUFUKUZWA MAHOTELINI ZNZ, KIONGOZI MUHUSIKA AKEMEA UBAGUZI

Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

#EXCLUSIVE: MKE wa PROFESA JANABI -AFICHUA RATIBA ya KULA-ANAVYOWASAIDI WENYE SHIDA ya AFYA ya AKILI

KUFUNGUA PHARMACY WATAALAMU WA DAWA WANAOTAKIWA NA WAFANYAKAZI WENGINE

ADAIWA KUMUUA KAKA YAKE KWA KUMCHOMA KISU KISA KUKOSA UMEME NYUMBANI
![Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass](https://i.ytimg.com/vi/2l9eQV4hPGc/hq720.jpg?sqp=-oaymwEbCNAFEJQDSFryq4qpAw0IARUAAIhCGAG4AvcY&rs=AOn4CLBRp0qCD1I54KXG12JBpyDNo8kR7w&usqp=CCc)
Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass

MSAMBAZA CHAKULA ANAYEINGIZA MILIONI 10+, ANAMILIKI PIKIPIKI 21, KAAJIRI VIJANA 40, KAMALIZA UDOM

Elimu ya taratibu kwa wanaohitaji kuanzisha vituo vya kulelea watoto wadogo mchana (Day Care Centre)

SERIKALI YATOA MAAGIZO HAYA KWA WAMILIKI WA MAABARA BINAFSI NCHINI

Broke Women ‘Stay’. Beauty Gets Their Attention - Trophy Kiprono

Mbinu za uzalishaji Biogas nyumbani. Sehemu ya kwanza

#EXCLUSIVE: DAKTARI MTANZANIA ANAYEMILIKI HOSPITALI TANGA, AFUNGUKA ALIVYOBOBEA KUPANDIKIZA UJAUZITO

ANITA AMONG ISI YAMWIKARAGIYEHO - KNC NA MUTABARUKA

"There Are Millions of Secret Banyarwanda in Uganda" — Dr. Lawrence Muganga

