VIDEO ya MWANAFUNZI AKIPIGWA FIMBO KINYAMA, RC CHALAMILA AFUNGUKA - ''ALIYEMPIGA ni MWALIMU MKUU''..
VIDEO ya MWANAFUNZI AKIPIGWA FIMBO, RC CHALAMILA AFUNGUKA - ''ALIYEMPIGA ni MWALIMU MKUU''... Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Albert Chalamila ametoa ufafanuzi kuwa Mwalimu aliyeonekana katika video akipiga mwanafunzi viboko,yupo Wilaya ya Kyerwa, Mkoa wa Kagera,Kata ya Kakanja,shule ya Msingi Kakanja. Tukio ni la kweli limetokea,tarehe 10.01.2023, ambapo Mwalimu huyo alipiga viboko wanafunzi zaidi ya mmoja, upigaji wake ndio ulioleta taharuki kwa umma ya Watanzania. Zaidi katika video ile kuna baadhi ya walimu waliokuwa pembeni walisikika wakicheka wakati mwalimu huyo akiwapiga wanafunzi. Mwalimu aliyepiga viboko wanafunzi ni Mwalimu Isaya Benjamin Emmanuel, mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Kakanja na walimu walioonekana na kusikika kufurahia tukio hilo wakati mwalimu Mkuu akiwachapa wanafunzi hao walikuwa ni walimu wanne ambao ni Mwalimu Godson Rwabisho,Beatrice Oswald Kaburanyange,James Josiah na Delphina Leonce. Wanafunzi waliochapwa ni Salmon Kakwezi darasa la nne umri wa miaka tisa na Anord Kweyamba darasa la nne umri miaka kumi. Mwalimu aliwachapa viboko wanafunzi kwasababu hawakufanya kazi ya nyumbani waliyopewa wakati wa likizo akaona adhabu kubwa ya kuwaadhibu ni kuwachapa wanafunzi namna alivyowachapa. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

"WAZIRI AMEONGEA KITU AMBACHO HAKIJUI" MADELEKA AMPASUA KATAMBI BILA UOGA

UTATA! MWANAFUNZI ADAIWA KUFARIKI MIKONONI mwa WALIMU - MAMA ASHANGAA KUKUTA MWILI UMESHAANDALIWA...

KINGWENDU MWANAFUNZI MZEE UTACHEKA SANA HII

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

🔴#LIVE:POLISI WATANDA MAENEO NYETI-KATAMBI AKALIWA KOONI-KUPELEKA MAHAKAMANI-VYAMA VYA SIASA...

MWALIMU WA SEKONDARI ASHIKILIWA KWA KUMBAKA MWANAFUNZI(16) KIDATO CHA TATU, SACP JONGO ATHIBITISHA

KWA NYYOMI CCM WANAJISIKIAJE, TAZAMA JOHN HECHE CHADEMA WALIVOWASHA MOTO SHINYANGA

MAPYA YAIBUKA: MWALIMU ALIYELAWITIWA NA MWANAFUNZI, HAKUBAKWA, ALIJITAKIA

MTOTO ALIYE-TREND KUTAJA MIRADI YA HAYATI MAGUFULI NA MARAIS 50 AONGEA “NIMEUMIA"

🔴#Live: DOROTHY APIGWA KIKATILI, AJERUHIWA VIBAYA, KISA POMBE na KURUDI USIKU wa MANANE | KATAMBUGA

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

MWANAFUNZI MTUKUTU NA MAPENZI SHULE (muendelezo)

KAULI TATA YA RC CHALAMILA INAYOSAMBAA KWENYE MITANDAO, MWENYEWE AITOLEA UFAFANUZI "KUNA UPOTOSHAJI"

MAPYA YAIBUKA: CHANZO CHA AJALI YA NDEGE BUKOBA I KIJANA MAJALIWA AFUNGUKA KWA HISIA NI..

TAARIFA YA KUSIKITISHA KUTOKA BUKOBA/MWANAMKE HUYU AVAMIWA USIKU NA KUIBIWA MTOTO WAKE ALBINO

Pazito! AGIZO LA KATAMBI LAPASUA VICHWA | KIGOGO ATEMA NONDO NZITO

MWANAFUNZI AFARIKI kwa KICHAPO KIKALI cha MWALIMU-BABA AFICHUA UKWELI-POLISI WAMTIA MBARONI MSHUKIWA

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

PART ONE ;BINTI ALIYESEMA AMECHUKULIWA MTOTO KUMBE ALIJIFANYA NI MFANYAKAZI WA NDANI

