Wasifu wa mgombea mwenza wa Chama cha Demokratiki Tim Walz
Tim Walz alichaguliwa mihula miwili kuhudumu kama gavana wa Jimbo la Magharibi kati la Minnesota kabla ya kuteuliwa na Kamala Harris kuwa mgombea mwenza. Katika kampeni, anazungumzia kuhusu siku muhimu za maisha yake huko Nebraska na vile zilivyoweza kumjenga, mgombea na gavana. Mwandishi wa VOA Natasha Mozgovaya alitembelea jimbo hilo kufahamu mengi zaidi jinsi watu wa Nebraska wanavyo mkumbuka na hisia zao juu yake. Sunday Shomari anaisoma ripoti kamili. #wasifu #TimWalz #gavana #jimbo #makamurais #mgombea #demokratiki #voa #voaswahili - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili »Tufuatilie katika X: / voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: / @voaswahili

Wagombea urais Marekani katika kampeni za mwisho mwisho

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

Wasifu wa mgombea mwenza wa Chama cha Republikan JD Vance

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

Wasifu wa Mgombea Urais kwa Tiketi ya Republikan Donald Trump

Top Iranian officials THREATEN US over Hormuz after ceasefire violations

Došao na odmor u Bosnu i napravio posao života!

Venezuela earthquakes: Nearly 70,000 missing as death toll rises

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

‘A political problem’: Trump SABATOGES himself...again

Scandal in Berlin! Alice Weidel accuses Merz of squandering taxpayer money

Hezbollah's leader rejects U.S.-Israeli brokered ceasefire

The Entire History of Switzerland in 22 Minutes

People living in attic apartments under zinc roofs of Paris suffer in the heat

Full Interview: Sen. Bill Cassidy

Cassidy says Trump "was berating" senators during meeting: "I'm not there to be berated"

Ego Bodybuilder HUMILIATED Beyond Belief 🤯 | Anatoly GYM PRANK

What Happened to Germany's Royal Family After They Lost the Throne?

Ruto Must go! Total Shame as Ruto & Kindiki Rejected in Meru today , Forced to Leave Abruptly

