POLISI YAKIRI KUWAUA VIJANA VINGUNGUTI “NI PANYA ROAD, WALIKAIDI, WENZAO WAMEKIMBIA”
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwapiga risasi zilizopelekea vifo vyao Vijana wawili Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) Wakazi wa Vingunguti Jijini Dar es salaam ambapo wamesema Vijana hao walikuwa Wahalifu (Panya Road) na kwamba mwenzao wa tatu bado mwili wake upo Amana Hospital na wenzao wengine wamekimbia. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “December 27,2023 lilipokea taarifa kutoka kwa Wananchi wanaochukia uhalifu meneo ya Vingunguti kuwa kuna kundi la Watu vijana akiwemo Panya White kama kiongozi wao wanajiandaa kukufanya matukio ya kihalifu maeneo ya Vingunguti ambapo ufuatiliaji ulianza na Polisi walipofika maeneo ya Vingunguti darajani majira ya saa 2:00 usiku waliwakuta Watu sita wakiwa na silaha za jadi (mapanga) wakiwa wamekusanyika” “Polisi waliwataka wajisalimishe ili wakamatwe, kinyume chake wakataka kuwashambulia Polisi kwa mapanga, Polisi walijihami na kufyatua risasi hewani lakini mazingira yalivyozidi kuwa ya hatari zaidi Polisi walilazimika kuwajeruhi kwa risasi miguuni na hapo watatu miongoni mwao walifanikiwa kukamatwa huku wakiwa na mapanga matatu yaliyopatikana eneo hilo la tukio” “Polisi waligundua baadaye kuwa waliokuwa wamejeruhiwa eneo hilo ni pamoja na Paka Pori maarufu Shommy ambaye baadae alijulikana kwa jina la Shomari Salehe Kucheuka na Beka aliyejulikana baadaye kama Bakari Athumani, waliokimbia ni Panya White na mwingine ambaye hajafahamika, hao waliokamatwa baada ya kujeruhiwa walipelekwa Hospitali ya Amana kwa matibabu lakini baada ya kufikishwa pale Madaktari walibaini kuwa tayari walikuwa wamepoteza maisha” “Maiti mbili za Shomy na Beka tayari zimetambuliwa na Ndugu zao na maiti moja ya Paka Pori bado ipo Hospitali ya Amana haijatambuliwa na Ndugu na upelelezi wa tukio hili na matukio mengine ya eneo hilo unaendelea” #MillardAyoUPDATES

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

SIRI ZA KUTISHA ZA SAMAKI HATARI DUNIANI, SUMU YAKE NI KIFO, UNAKUA KIPOFU, HUFANYI MAPENZI MIEZI

WATUHUMIWA WANNE WA MAUAJI YA MCHINA WAMEKAMATWA, WALINUNUA NG'OMBE BAADA YA KUUA

WACHINA WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI

Panya Road 10 Wakamatwa Dar, Waongea na Waandishi

WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

ABANYAMAHANGA 8 BATEJE URUGOMO BAFUNZWE || HUYE:UMUKECURU N’UMWUZUKURU BISHWE BAJUGUNYWA MU MUSARANE

MAMA ALIYEZUIA WATU ARUSHA WASIMUUE KIJANA ALIYEKUWA MWIZI AONGEA, NI MCHUNGAJI, "NIMEMPELEKA POLISI

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU BAADA YA KUMWAMBIA KUWA ANAM SUPPORT YOUTUBE

TAHARUKI: CCTV YANASA MABAUNSA WAKIDAIWA KUONDOKA NA MAGETI, WANANCHI WAILILIA SERIKALI IINGILIE

SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"

BREAKING: Ruto has finally surrendered JKIA to China

ALIYEDAIWA KUMTISHIA PADRI KITIMA, AKAMATWA NA POLISI

'Panyarodi' walivyotikisa Bunju, Wananchi wasimulia mwanzo mwisho!..

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA,TETESI ZA NDUMBA, MAJI YA MAITI, MAFANIKIO AELEZA

