Birthday ya Dr. Mutembei Ilivyosheherekewa Ujenzi Secondary.. "Umetoa Ajira Kwa Mamia"

leo tarehe 16 Februari ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa muasisi wa shule za St. Matthew's schools, mzee wetu Dr. Thadeo Mutumbei. Kwa namna ya pekee, shule ya Ujenzi Secondari imesheherekea kwa upekee, ikiwa ni ishara ya kuonesha upendo kwa mzee wetu. sisi ni ELIMU, MALEZI na USALAMA