Watu 10 wakamatwa kwenye maandamano ya Saba Saba
Watu 10 wamekamatwa na polisi jijini Nairobi kwa kushiriki maandamano ya Saba Saba. Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja amesema maandamano ya Jumanne yalikuwa yameharamishwa kwa kuwa polisi hawakupokea ilani yoyote ya maandamano. Wanaharakati, hata hivyo, wameilaumu polisi kwa kuwazuia kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kuandamana na kuwasilisha mapendekezo bungeni wakitaka waathiriwa wa maandamano ya Saba Saba ya mwaka jana wafidiwe.

▶︎
Governor Orengo SHUT DOWN Mid-Speech as Unmarked Subaru Snatches Activists in Nairobi CBD

▶︎
Fear and insecurity as Nairobians experience disturbing incidents of robbery and disorder

▶︎
Argentinien – Ägypten Highlights | Achtelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
DESTROYED! Sifuna’s Ruthless Coup That Ended Babu & Orengo | Lee Makwiny

▶︎
Heavy police deployment seals off Nairobi during Saba Saba

▶︎
THE EXPLAINER 7TH JULY, 2026

▶︎
CITIZEN NIPASHE ~ JULY 7, 2026

▶︎
10 arrested as police declare Saba Saba protests unlawful

▶︎
KFS legal director Esther Wairimu found dead in a farm in Juja

▶︎
“TUTAWASHUGHULIKIA WAANDAMANAJI, MWENYE USHAHIDI WA WATEKAJI ANILETEE” - WAZIRI KATAMBI

▶︎
THE EXPLAINER | SABA SABA MEMORIES

▶︎
High-speed hunt ends in gunfire; suspected serial car thief dies

▶︎
Miradi yazua mjadala kabla ya uchaguzi Ol Kalou

▶︎
MVUTANO MKALI KIFO CHA DEREVA WA HECHE, MHUDUMU wa GESTI ASIMULIA YOTE

▶︎
Police investigate daring Westlands robbery caught in under a minute

▶︎
Polisi washika doria katika barabara tofauti ili kuzuia hadhara maandamano ya sabasaba

▶︎
Sifuna kugura ODM? Mchakato wa siasa za magharibi mwa Kenya wazidi kutokota

▶︎
MIMI NARUDI UDA NYUMBANI!!!FINALLY CLEOPHAS MALALA

▶︎
Police investigate armed robbery at Westlands restaurant

▶︎
