WAKULIMA WA KOROSHO WAASWA KUACHANA NA WANUNUZI WA KANGOMBA.
Kuelekea msimu mpya wa zao la korosho nchini wakuliwa wameaswa kuto uza korosho zao kihorela na badala yake wawe watulivu mpaka October 31 ambapo wanunuzi utaanza rasmi kufanya biashara. Taarifa ya Heri Abdala inaeleza zaidi........ Hayo yamesemwa Leo October 18,2025 na mwenyekiti wa bodi ya korosho Tanzania katika ofisi za bodi hiyo zilizopo halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara. BRIGEDIA GENERAL ALOYCE MWANJILE NDC - Mwenyekiti wa bodi ya korosho Tanzania. Aidha mwenyekiti huyo ameongeza kuwa zaidi ya kampuni 80 tayari zimejisajili ili kununua korosho hizo kwa makundi tofauti ikiwemo sokoa awali, korosho karanga pamoja na korosho ghafi huku akitoa wito kwa makapuni kuendelea kujisajili pamoja na bei nzuri. BRIGEDIA GENERAL ALOYCE MWANJILE NDC - Mwenyekiti wa bodi ya korosho Tanzania. Kwa upande wake mkurugenzi wa bodi ya korosho nchini watahakikisha korosho zitakazokusanywa kwenye vyama vya msingi zinakidhi viwango vyenye ubora unaotakiwa. FRANCIS ALFRED - Mkurugenzi bodi ya korosho Tanzania.

Kilimo cha korosho Tanzania

MNADA wa KOROSHO TANDAHIMBA na NEWALA - BEI ya JUU 3520 na BEI ya CHINI 2550...

The "Miracle Tree": How to Start a Profitable Moringa Agribusiness

🔵WAKULIMA WA KOROSHO MTWARA KULAMBA DUME // BEI YAVUNJA REKODI

Inside the Largest Wood Sawmill Factory – How Plywood Is Made From Logs to Table (Full Process)

KILIO CHA WAFANYABIASHARA WA KOROSHO | WAILILIA SERIKALI YA AMMA SAMIA |HALI NI TETE SOKO LA KOROSHO

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

BEI YA KOROSHO MNADA WA KWANZA YAFIKIA 2707, WAKULIMA WAKUBALI KUUZA "MSIMU HUU KUNA NAFUU"

Mix the chickpeas and eggs! I learned this trick in a fancy restaurant!

I Grow Garlic In Plastic Bottles With No Soil - Roots Grow Fast And Harvest Is Huge

BODI YA KOROSHO YAFUNGUKA FURSA KUBWA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI

Amazing Harvest of Giant Cherimoya Booth Fruits | Thousands of Huge Ripe Fruits on One Tree

Francis Alfred - Kaimu mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania

Mr Beans Zahnarztprobleme | Mr Bean Deutschland

FIRST CASHEW AUCTION TO BE HELD ON OCTOBER 31, 2025 | CBT PLANS TO IMPROVE PRIMARY MARKET

KIBITI PWANI:PWANI YAUZA KOROSHO BEI YA WASTANI SHILINGI 1675 MNADA WA KWANZA

Every branch takes root very quickly. You don't need rooting pods

SO GOOD they got Bruno's Golden Buzzer MID-PERFORMANCE | Auditions | BGT 2023

WAKULIMA WA KOROSHO MSINYWESHE SODA MBUZI NA WANUNUZI LIPENI FEDHA MAPEMA

