CWT yapata uongozi mpya, rais aangushwa, ataja mambo matatu
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimemaliza kimepata rais mpya, Suleiman Ikomba, aliyeibuka mshindi kwa kupata kura 608 dhidi ya kura 260 alizopata aliyekuwa rais wa awamu iliyopita, Leah Ulaya. Kura moja iliharibika, na kufanya jumla ya kura zilizopigwa kufikia 869. Uchaguzi huo umefanyika jana usiku na mshindi amepatikana leo asubuhi Juni 10, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Centre, jijini Dodoma. Uchaguzi huo umehusisha wajumbe wote wa CWT kutoka mikoa mbalimbali nchini. Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Ikomba aliwataka wanachama wa CWT kuweka kando tofauti na makundi ya uchaguzi, na badala yake kushikamana kwa ajili ya kujenga chama imara na chenye mshikamano. “Kwanza tuwashukuru sana. Uchaguzi tumemaliza salama. Hivyo mimi niwaombe tumalize makundi ambayo tuliyoyatengeneza katika uchaguzi, ila sasa tumemaliza na makundi nayo tuyamalize,” alisema Ikomba.

EXCLUSIVE- MAKALA MAALUM MKUTANO WA UCHAGUZI CHAMA CHA WALIMU 'CWT'

Ekskluzive/Flet gruaja 'e rrezikshme' pas 'non grata-s': Rama, a e ke pyetur veten nëse je shqiptar?

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

#LIVE: MKUTANO MKUU WA CWT 2025 SIKU YA PILI ( UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CWT )

Vurumai laendelea KUTIKISA CWT "Viongozi wa Serikali wanakiharibu Chama" Walimu wamlilia Rais Samia

🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

State of the Nation; The Way Forwad.

JOHN HECHE ACHARUKA/"HATUTASHIRIKI MARIDHIANO HADI LISSU AACHIWE"

Suleiman Ikomba, New CWT President, Ousts Leah Ulaya

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

🛑MINEMBWE: UBUBIKO BW’INTWARO BWATWITSWE/ IRAN YONGEYE GUFUNGA HORMUZ/US YABABAJWE NA AFURIKA Y’EPFO

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

IKULU Tanzania yatoa Taarifa hii Gafla Usiku kuhusu Rais Samia Suluhu Leo

Umugore winjiye mu mashyamba ya DRC agatahana Gen RWARAKABIJE na NGENDAHIMANA//Hon.Anne Marie

These animals are released into the wild for the first time

