BAADA YA MAAGIZO YA ULEGA, MIZANI MIKESE YAANZA KUKARABATIWA

Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Morogoro umeanza matengenezo ya mfumo wa kupima uzito wa magari yakiwa kwenye mwendo (WIM) katika mizani ya Mikese ili kuondoa msongamano wa magari katika Barabara Kuu ya Morogoro. Ufungaji wa Mizani hiyo ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali yaliyotolewa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, wakati akiwa katika ziara ya kikazI ya ukaguzi wa miradi na kushuhudia msongamano mkubwa wa magari na kuelekeza timu ya watalaamu kufika mara moja na kuanza kushughulikia tatizo hilo. Akizungumza Novemba 24, 2025 Mtaalam wa Mizani kutoka TANROADS, Mhandisi Juma Kipande, ameeleza kuwa changamoto kubwa ya mzani huo ni kuharibika kwa sensor ya mizani hali iliyopelekea mzani kushindwa kupata uzito sahihi wa uzito wa magari.

KAZI IPO LEO!!! ULEGA ATOA MAELEKEZO HAYA KWA MAMENEJA WOTE WA TANROADS NCHINI
▶︎

KAZI IPO LEO!!! ULEGA ATOA MAELEKEZO HAYA KWA MAMENEJA WOTE WA TANROADS NCHINI

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA
▶︎

ULEGA AAGIZA UJENZI BARABARA ZA AFCON KUFANYIKA USIKU NA MCHANA

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA
▶︎

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

ULEGA AMBANA MKANDARASI HYDOM, ATOA SIKU 14 VIFAA VYOTE VIWE ‘SITE’
▶︎

ULEGA AMBANA MKANDARASI HYDOM, ATOA SIKU 14 VIFAA VYOTE VIWE ‘SITE’

WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI
▶︎

WAZIRI ULEGA AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA MIZANI KUPISHA UCHUNGUZI

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU
▶︎

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU
▶︎

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU

GPS: Afrika Kusini hakukaliki! Waingia mtaani kufukuza wageni, June 30 ni mwisho, watakiwa kuondoka
▶︎

GPS: Afrika Kusini hakukaliki! Waingia mtaani kufukuza wageni, June 30 ni mwisho, watakiwa kuondoka

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027
▶︎

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI
▶︎

KERO YA BARABARA YA TABATA BIMA - KIMANGA YAPATA MWAROBAINI

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.
▶︎

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

MAPOKEZI ya RAIS NETUMBO NANDI wa NAMIBIA - APIGIWA MIZINGA ya HESHIMA IKULU DAR...
▶︎

MAPOKEZI ya RAIS NETUMBO NANDI wa NAMIBIA - APIGIWA MIZINGA ya HESHIMA IKULU DAR...

MAKALA || Miradi ya barabara kuinua  uchumi na kuwezesha huduma za kijamii nchini
▶︎

MAKALA || Miradi ya barabara kuinua uchumi na kuwezesha huduma za kijamii nchini

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050
▶︎

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

ULEGA ORDERED THE SUSPENSION OF WORK OF SERVANTS IN MIKESE BALANCE(@okulydigital)
▶︎

ULEGA ORDERED THE SUSPENSION OF WORK OF SERVANTS IN MIKESE BALANCE(@okulydigital)

MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60
▶︎

MABORESHO YA KIWANJA CHA NDEGE KIGOMA YAFIKIA ASILIMIA 60

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

🟠 ZIARA YA MBUNGE MARY_"VETA,UWANJA WA NDEGE NA UJENZI WA LAMI SERENGETI" AHIMIZA KASI NA UBORA.
▶︎

🟠 ZIARA YA MBUNGE MARY_"VETA,UWANJA WA NDEGE NA UJENZI WA LAMI SERENGETI" AHIMIZA KASI NA UBORA.

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027
▶︎

🔴#LIVE: UWASILISHAJI WA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027