HOTUBA YA MAGUFULI: ALIVAA JESHI LA POLISI "DHAHABU ILIPITAJE?"
HOTUBA YA MAGUFULI: ALIVAA JESHI LA POLISI "DHAHABU ILIPITAJE?" Rais John Pombe Magufuli leo katika makabidhiano ya dhahabu yene uzito wa kg 35. ambazo zilikamatwa katika uwanja wa ndege wa Kenya kutokea Tanzania, amezungumza mengi kubwa zaidi amesisitiza kudumisha upemndo na mshikamaano.. Pia amesema anamshukuru rafiki yake Uhuru Kenyatta kwa kuwa mzalendo kwa kukamata dhahabu ambazo ziliibiwa Nchini humu mwaka jana 2018. JPM ameongeza " Namshukuru sana Kenyatta na pia nawashukuru Wakenya wote kwa ujumla" Huu ni uzalendo na alichokifanya Kenyatta ni uzalendo na uaminifu wa hali ya juu sana.. Ameongeza kuwa "Kenya wameahidi kununua unga kutoka Tanzania badala ya mahindi, huu ndio undugu na urafiki wa kweli.." "Mali za wananchi ni lazima zirudi kwa wananchi kwa ajili ya maendeleo, Kenya na Tanzania ni kitu kimoja.." #MAGUFULI#DHAHABU https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

🔴DIRECT Assemblée NATIONALE: Le PM Ousmane Sonko face aux députés

Inequality, corruption and police brutality in Kenya: Mehdi Hasan & Kimani Ichung’wah | Head to Head

Ethiopia | The Most Dangerous Train in the World | Deadliest Roads

Ecuador vs. Germany Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

Japan – Schweden Highlights | Gruppe F, FIFA WM 2026 | sportstudio

MASWALI MAGUMU ALIYOULIZWA WAZIRI MKUU MWIGULU BUNGENI - AYAJIBU kwa HOJA...

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

🔴DIRECT | PENCOO avec Moustapha Diop et son équipe de ce Vendredi 04 AVRIL 2025

Gov. Wes Moore served in combat. Here's what he thinks about the Iran war | Newsmakers

U Rwanda na RD-Congo bumvikanye gucyura impunzi hagati y'ibihugu byombi/Amakuru ya BBC News Gahuza

EMS Eletawi የጦርነት ቀጠና መስፋት Tue 23 Jun 2026

Curaçao – Elfenbeinküste Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

Rymanowski, Miller: UPA-dek przyjaźni?

World Cup Fiasco, hidden debt, constitutional revision: Diomaye in crisis management mode: M.D

MATANGAZO YA ASUBUHI | 26 06 2026 | AWAMU YA KWANZA

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

MAGUFULI ALIVYOMPIGIA RAIS KENYATTA HADHARANI, WATU HOI..!

