Kimbunga Hidaya: Tanzania Bara, Zanzibar zasitisha usafiri wa baharini

Mamlaka za usafiri wa majini za Tanzania Bara na Zanzibar zimesitisha usafiri wa baharini kwa meli na boti zinazofanya safari zake kati ya visiwa vya Unguja, Pemba, Dar es Salam, Mtwara na Lindi kutokana na tahadhari ya kimbunga Hidaya ambacho kinazidi kuikaribia pwani ya Bahari ya Hindi. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi