Julius Mzeru: Bendi ya Orchestra Mlimani Park ilikuwa ni Shule ya Muziki. Amueleza Adam Zuberi...
Channel yako ya Muziki na Wanamuziki, leo inakuletea mahojiano matamu na ya kusisimuwa. Mchambuzi wako mahiri wa Muziki Adam Zuberi a.k.a "GUGO WA MUZIKI" leo anaongoza mahojiano akiwa na Julius Mzeru aliyekuwa mpiga gitaa zito la besi kwenye bendi kongwe na mashuhuri wakati huo ilipokuwa ikiitwa MLIMANI PARK ORCHESTRA 'Sikinde Ngoma ya Ukae'. Juliasi Mzeru anatuelezea zaidi kuhusu wimbo wao uliovuma sana uliokwenda kwa jina la 'Nelson Mandela' pamoja na habari na umahiri wa mtunzi wa wimbo huo Joseph Mulenga a.k.a Spoler. Tunategemea utafurahia mahojiano haya, utaburudika na kujifunza pia. Kama hivyo ndivyo, basi tafadhali usisahau kubonyeza kitufe chekundu kilichoandikwa Subscribe ili uweze kupata habari zetu zote kila tutakapozibandika hapa kwenye channel yetu ya MUZIKI NA WANAMUZIKI. Pia jisikie huru kutoa maoni yako, ushauri wako, maombi na hata pongezi zako ili tuweze kuwa pamoja zaidi na kukuletea vitu utakavyovifurahia. Tunakuahidi kuwa tutasoma kila ujumbe utakaotumwa hapa na pale itakapotubidi kujibu, basi tutajibu. Ili usipitwe na habari yoyote ile itakayotundikwa kwenye channel hii, tafadhali click link ifuatayo ili uweze kuwa wa kwanza kujulishwa kuhusu habari mpya MUZIKI NA WANAMUZIKI* / @muzikinawanamuziki Fresh Jumbe YouTube / freshjmw Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook / akida.mtwana Website https://freshjumbe.com/

Sikinde tulitumia gitaa la Kombora asema Julius Mzeru - Halafu ile bendi ilikuwa kama jeshi maana...

Gwiji la kupuliza Tarumbeta Super Volcano na bendi za Wanyika Saidi Makelele - Part - 1

Dodoma Lyrics - Dr Remmy Ongala & Orchestre Super Matimila

#LIVE: CHADEMA KARATU YAVUNJA REKODI, LEMA, MAHINYILA WAWASHA MOTO, WAIVURUGA CCM BILA HURUMA

Patrick Kamaley: Nilikwenda Bima Lee kwa kujiamini. Pia wimbo Mwanvua utunzi wake Gerry Nashon...

Benno Villa Anthony akiimba wimbo wa "Maneno Maneno" na Mlimani Park Orchestra "Sikinde"

Ilikuwa Huzuni

Wimbo 'ASHA BORA' wa Sikinde I Mtunzi asema ilikuwa ni Stori ya kweli

GENZ TRUM AKATAA KUNUNULIWA NA SERIKALI

WAZIRI ALLY KATIKA ONESHO LA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA

EXCLUSIVE : ALIYEWAPELEKA CHADEMA MAHAKAMANI AFICHUA KUWAPELEKA TENA SABABU '3' NZITO NI HIZI HAPA

Everyone Ignored Him… Until He Played | GUITAR PRO pretended TO BE HOMELESS

Mohammed Bakari Churchil - Mwana mapinduzi wa Rithm gitaa la Urafiki Jazz Band wana 'Chakachua'

POLISI WAVAMIA BUNGENI GHAFLA | WABUNGE WATIMUA MBIO KUTOKA BUNGENI | WAPEWA MAFUNZO KUJIOKOA

NEEMA - DDC Mlimani park (Cosmas Chidumule)

Lipua Lipua - 9eme Commendement

CCM INAPASUKA MAKAMU WA RAIS NCHIMBI AITWA YUDA ( MSALITI ),LEMA AMSHAURI KUJA CHADEMA " CCM IMEKUFA

