BIL.2 KUJENGA KUTA MPWAPWA “WATU SITA WAMEPOTEZA MAISHA, KAYA 29 ZIMEPOTEZA MAKAZI"
Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imetenga zaidi bilioni mbili kujenga kingo za bonde la mto Shaban Robert lililopo wilayani ya Mpwawa mkoa wa Dodoma lililo sababishwa na mvua za juu ya wastani zilizonyesha mwaka 2019 na watu sita walipoteza maisha,kaya kupoteza makazi na mawasiliano ya barabara kukatika Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Hamad Hassan Chande ametembelea eneo hili na kutoa maelekezo kwa mkuu wa wilaya hiyo kushirikiana na Halmashauri kutenga eneo maalum la dampo kunusuru athari za kimazingira zinazoweza kusababisha na utupaji taka katika maeneo ya bonde hilo Hata hivyo amesema tayari Jumuiya ya Ulaya ikitenga asilimia 25 ya bajeti yake kutumika Tanzania kunusuru mabadiliko ya Tabia nchi na sehemu ya fedha kiyo itaelekezwa kutumiaka wilayani humo

WANANCHI WAMNG'OA MADARAKANI MWENYEKITI WA MTAA KISA MPIGA DILI "AMEUZA ENEO LA ZAHANATI NA VIWANJA"

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA YA MZUNGUKO WA NJE, JIJI LA DODOMA

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

FOLENI DAR YASABABISHA BAADHI YA WATU KUPANGA "RC CHALAMILA

#TAZAMA| SERIKALI KUJENGA DARAJA LA GODEGODE MPWAPWA LILOKUWA KERO KWA MIAKA 10

MVUA YATENGANISHA MAWASILIANO KATI YA WILAYA YA MPWAPWA NA KONGWA.

Wavamizi mto Mpwapwa kukiona

KIJANA WA ARUSHA AMKOSHA WAZIRI ULEGA ANAVYOONGEA LAFUDHI 'KICHUGA' APEWA AJIRA, NACHUBUA VIBAYA

BIG BLOW: Court finally delivers heartbreaking News to Ruto

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

BARABARA YA KUUNGANISHA WILAYA ZA KONGWA NA MPWAPWA MBIONI KUWEKWA LAMI

POLISI WAWILI MPWAPWA WAUAWA WAKIMSAKA MHALIFU

"KERO YA FOLENI DAR YASABABISHA BAADHI YA WATU KWENDA KUPANGA

SIJAVUNJA KATIBA KUZUIA MIKUTANO YA SIASA, NIPO TAYARI KUPOTEZA NAFASI YANGU - WAZIRI KATAMBI

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASA

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

Babu Owino speaks at Milimani Law Courts after defending 'Mr Speaker Sir' Ezekiel Kyama

