MIZENGWE- SHULE KWANZA

Mkwere, Matata, Safina, wapo kwa ndugu yao Sumaku ambae amefanikiwa katika maisha kutokana na juhudi zake mwenyewe pamoja kunyanyaswa na ndugu zake kipindi hana uwezo kwani ilipelekea mpaka mama yake Mkwere kumsababishia kufungwa kutokana na tamaa ya mali za urithi.Lakini Mungu si Athumani sasa ana mafanikio ambayo ndugu zake wanarundikana kwake wakitafuta msaada.