MADHARA YA VYAKULA MTU ANAVYOLISHWA NDOTONI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Shetani hupenda kutumia chakula kwenye ndoto kuwalisha watu maana ili aweze kupata uhalali na nguvu ya kukutesa ni lazima kuwe na kitu chake ndani yako.Mara nyingi hutumia nyama maana ndani ya nyama kuna damu na maneno anayoyatamka juu ya hicho alichokulisha huwa hayapotei,huwa yanasubiria wakati sahihi katika ulimwengu wa mwili ili liweze kutimia. Kuna baadhi ya watu kuna ndoto za vyakula kila zikija kwao basi kama alikuwa anategemea kupata upenyo katika sehemu fulani ya maisha yako basi ndio hautokei tena.Kama ulikuwa unatarajia kupata kazi,ukiota tu ndoto hiyo basi na kazi hupati tena. Leo Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando alitufundisha neno la Mungu juu ya madhara ya vyakula hivi,lakini pia kulikuwa na maombezi na mkono wa Mungu ulikuwa mkuu sana kufungua watu. UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322 Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii Like our Facebook: / therealityof. . Follow our Instagram: / realityofch. . Subscribe our YouTube: https://www.youtube.com/channel/UC67L... Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz

NAMNA YA KUTIISHA ULIMWENGU WA ROHO UKIWA KATIKA ULIMWENGU WA MWILI | PASTOR SUNBELLA KYANDO

ENDELEA KUKUSANYA KUNI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

SIRI KUBWA KUHUSU VYAKULA SEH 1(ANGALIA VIDEO HII KABLA HAIJATOLEWA)

KWA NINI NIKIOMBA NASHAMBULIWA?

JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

MWL C MWAKASEGE: FAIDA ZA KUJAZWA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU MWANZONI MWA KIPINDI CHAKO KIPYA.

1. NAMNA YA KUOMBA WAKATI HUJUI KUOMBA IKUPASAVYO // MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE.

NDOTO ZA KULISHWA VYAKULA (MAOMBEZI) - PASTOR SUNBELLA KYANDO & PASTOR JOHN SEMBATWA

HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA MATATU HAYA....

UCHAWI UNAVYOENDELEZA JAMBO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

NAMNA YA KUFANYA KAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO ( I ) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

ROHO MTAKATIFU II (FAIDA ZA KUNENA KWA LUGHA) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

MATESO YA FAMILIA - PASTOR SUNBELLA KYANDO

MATESO YA FAMILIA - VIII(MAOMBI YA REHEMA) - PASTOR JOHN SEMBATWA

SIRI YA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 01/06/2023

FAHAMU FUNGUO ZA MPENYO WA KIUNGU || PASTOR GEORGE MUKABWA || JRC CHURCH || 24/05/2026

1.KUSHUGHULIKIA AINA MBALI-MBALI ZA ROHO YA MAUTI

FAHAMU NGUVU YA MAOMBI USIKU WA MANANE.

ONE TO ONE NA SESSION MAALUM : KILA VYAKULA VYA KICHAWI VITOKE KWA JINA LA YESU

