BANDARI YA DAR YAWEKA REKODI KWA KUHUDUMIA MELI KUBWA ZAIDI

Dar es Salaam. Malengo ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kitovu cha kuhudumia shehena ya mizigo kwa nchi jirani yameanza kuonekana, baada ya bandari hiyo kuanza kupokea meli kubwa zenye urefu wa hadi mita 300. Mafanikio hayo yametokana na maboresho makubwa yaliyotekelezwa na Serikali kupitia Mradi wa Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP) chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa mara ya kwanza, bandari hiyo imehudumia meli kubwa aina ya Post Panamax, Mv. MYNY, yenye urefu wa mita 300 na uwezo wa kubeba tani 75,201 ikiwa na makasha 6,840. Mkurugenzi wa Marine na Shughuli za Kibandari, Kapteni Abdallah Mwingamno akizungumza leo Ijumaa, Septemba 5, 2025 amesema tukio hilo ni uthibitisho wa uwezo mpya wa bandari hiyo kuhudumia meli kubwa za kisasa. Amesema mbali na maboresho ya gati, Serikali pia imewekeza kwenye mitambo ya kisasa ikiwemo Ship to Shore Gantry Cranes (STS) na Rubber Tyred Gantry Cranes (RTG), hatua inayopunguza muda wa meli kukaa bandarini. Kupitia DMGP, gati namba 1–7 zimeimarishwa kwa kuongeza kina hadi mita 14.5, eneo la kugeuzia meli limefikia mita 15 na lango la kuingilia limepanuliwa. Mradi huo wenye thamani ya Sh1.118 trilioni, unaofadhiliwa na Benki ya Dunia na mapato ya ndani ya TPA, unaweka Tanzania kwenye nafasi ya ushindani mkubwa Afrika Mashariki na Kati.

MUONEKANO WA ENEO LAUTEKELEZAJI WA MRADIWA BONDE MSIMBAZI
▶︎

MUONEKANO WA ENEO LAUTEKELEZAJI WA MRADIWA BONDE MSIMBAZI

SGR MWANZA - ISAKA YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 64 KAZI YA USIKU NA MCHANA, STESHENI 10 ZAJENGWA
▶︎

SGR MWANZA - ISAKA YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 64 KAZI YA USIKU NA MCHANA, STESHENI 10 ZAJENGWA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

#TBC:OUR PORTS - PORT IMPROVEMENTS IN STIMULATE THE ECONOMY
▶︎

#TBC:OUR PORTS - PORT IMPROVEMENTS IN STIMULATE THE ECONOMY

RAIS SAMIA KUZINDUA SAFARI ZA MIZIGO SGR | UKUBWA KONGANI YA RELI KWALA, FAIDA ZA KIUCHUMI HIZI HAPA
▶︎

RAIS SAMIA KUZINDUA SAFARI ZA MIZIGO SGR | UKUBWA KONGANI YA RELI KWALA, FAIDA ZA KIUCHUMI HIZI HAPA

IJUE MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI
▶︎

IJUE MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania
▶︎

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

NOMA! MELI INAVYOCHIMBA KUONGEZA KINA CHA BAHARI KWENYE BANDARI YA TANGA
▶︎

NOMA! MELI INAVYOCHIMBA KUONGEZA KINA CHA BAHARI KWENYE BANDARI YA TANGA

MAGEUZI YA KATIKA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)
▶︎

MAGEUZI YA KATIKA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)

#RELI YA SGR NA MGR KUINGIZWA NDANI YA BANDARI KAVU, DRC YABISHA HODI KUPATA ENEO KWALA MKOA PWANI
▶︎

#RELI YA SGR NA MGR KUINGIZWA NDANI YA BANDARI KAVU, DRC YABISHA HODI KUPATA ENEO KWALA MKOA PWANI

MIRADI YA KUTISHA YA UJENZI, NHC YAFANYA MAPINDUZI MAJENGO/ MIAKA MINNE YA DKT. SAMIA...
▶︎

MIRADI YA KUTISHA YA UJENZI, NHC YAFANYA MAPINDUZI MAJENGO/ MIAKA MINNE YA DKT. SAMIA...

Large car carrier docks at Dar es Salaam port, inspection, security
▶︎

Large car carrier docks at Dar es Salaam port, inspection, security

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 11.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 11.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

Why Egypt is Terrified of Ethiopia’s Mega-Airport City!
▶︎

Why Egypt is Terrified of Ethiopia’s Mega-Airport City!

BONI YAI: WANAOREJEA CHADEMA WASITARAJIE KUPATA VYEO HARAKA
▶︎

BONI YAI: WANAOREJEA CHADEMA WASITARAJIE KUPATA VYEO HARAKA

UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU – KAKOLA WALETA MATUMAINI MAPYA YA MAENDELEO SHINYANGA
▶︎

UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU – KAKOLA WALETA MATUMAINI MAPYA YA MAENDELEO SHINYANGA

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY
▶︎

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

🔴#TBCLIVE: MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) WAFIKIA 65%
▶︎

🔴#TBCLIVE: MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) WAFIKIA 65%

Matunda Ya uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam.
▶︎

Matunda Ya uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam.