#LIVE; MAOMBI YA USIKU// LISEMESHE HITAJI LAKO

Mathayo 21:18-22 Yesu alipokuwa anarudi mjini asubuhi na mapema, aliona njaa. Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauna chochote ila majani matupu. Basi, akauambia, “Usizae tena matunda milele!” Papo hapo huo mtini ukanyauka. Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?” Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: ‘Ngoka ukajitose baharini,’ itafanyika hivyo. Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.” M-PESA 0758 708 804 TIGO-PESA 0717 031 609 AIRTEL MONEY 0684 988 722 HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI INNOCENT MASHAURI WAWEZA KUTUMA SADAKA PIA KUPITIA _ CRDB BANK ACC: 0152523574100 JINA: INNOCENT LEONARD MASHAURI Pastor Innocent Mashauri +255 758 708804 Whatssap text, Call