Maisha ya Mtakatifu Yosefu wa Cupertino aliyeushangaza ulimwengu kutokana na akili yake sehemu ya 2
Baada Ya kuwa padre, yosefu alizidi kuendelea katika hali ya utakatifu roho yake ikimwaza Mungu daima. Alikuwa kana kwamba ameungana na Mungu.Mara nyingi alionekana amesimama kimya kama vile sanamu, asihisi kuguswa wala kuitwa. Japo yosefu aliwaponya wagonjwa wengi kwa miujiza, lakini yeye anatambulika hasa kwa ajili ya tukio lake la kuelea angani wakati alipokuwa Anasali. Alionekana mara sabini na watu wengi akiwa katika hali hiyo na habari ya jambo hilo iliandikwa mara yosefu Mwenyewe alipokuwa hai bado, au muda mfupi sana baada ya kufa kwake. Siku moja kanisani mbele ya macho ya watu wengine waliokuwamo humo yosefu alipazwa juu ya vichwa vyao akielekea sanamu ya bikira maria ambapo alisali kwa muda akiwa bado katika hali ya kuelea hewani, kisha akaenda zake akielea vivyo hivyo chumbani kwake. Kwa asili Yosefu alikuwa na uelewa mdogo juhudi zake za kujifunza kwa kujisomea kamwe hazikufanikiwa. Lakini mara walimtambua kuwa alikuwa na elimu ya kuvuviwa kiasi kwamba hata wanateolojia maarufu walishangazwa na hili maisha yake daima yalikuwa ya kuungana na Mungu kila kiumbe kilimwinua juu mbinguni na kwa mambo yaliyo ya juu siyo tu roho yake bali hata mwili wake. Mara kwa mara alinyanyuliwa juu ya ardhi katika hali ya furaha isiyo kifani na kubaki katika hali hiyo kwa muda mrefu, hivi kwamba mwandishi wa wasifu wake anakiri kuwa alitumia zaidi ya nusu ya maisha yake ya kitawa juu ya ardhi yaani (hewani ) Mara nyingine aliruka kwa wepesi, sana kuendea vile vitu alivyo vitumia kwa ibada kwenye mwinuko karibu na konventi kulisimamishwa Misalaba mitatu. Alikufa katika konventi ya osimo September 18 , 1663 Miujiza mingi ilitokea kwenye kaburi lake na papa klementi wa xiii alimtangaza Mtakatifu mnamo mwaka 1753 kutokana na miujiza ya “kuelea hewani” sasa ana heshimiwa kama msimamizi wa wale wanaosafiri kwa Anga. Tafakari Mwenye upendo huvumilia, hufadhili , Mwenye upendo hana wivu hajidai wala hajivuni mwenye upendo hakosi adabu hatafuti faida yake binafsi wala hana wepesi na hasira haweki kumbukumbuku ya mabaya hafurahii maovu bali hafuruhia ukweli mwenye upendo huvumilia yote na hustahimili yote Usiache kufwatilia Historiana jumapili ijayo 🙏🏾 Cc @Ninobalyus

Maisha ya Mtakatifu yosefu wa Cupertino aliyeushangaza ulimwengu kutokana akili yake.

MTAKATIFU WA LEO TAREHE 12 JUNE - MTAKATIFU YOHANE WA SAHAGUNI, MTAWA

WAZIRI GWAJIMA; Aingilia kati KAULI YA TONY kujaza GESI Alichoandika chashangaza wengi hawajaelew

JOSEPH Full Movie 1995

Magnificat — Mary's Song of Praise | 4H Catholic Marian Hymns & Adoration

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim

Beautiful Relaxing Music - Stop Overthinking, Stress Relief Music, Sleep Music, Calming Music #177

Scandal in Berlin! Alice Weidel accuses Merz of squandering taxpayer money

MAISHA YA MTAKATIFU FILOMENA

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

BILA KULA WALA KUNYWA WALIISHI KWA EKARISTI TAKATIFU PEKEE

The Glory Song - Dunsin Oyekan #dunsinoyekan #worship #glory

Why The Book of HEBREWS Will BLOW Your Mind | Full Bible Movie 4K

Senegal Shocked The World & Destroyed England 😱🔥⚡ ❮ Senegal (3-1) England ❯ | Historic Comeback

Beautiful Relaxing Music - Stop Overthinking, Stress Relief Music, Sleep Music, Calming Music #242

My Son Texted: “You’re Not Joining the Cruise—My Wife Wants Just Family.” Calm Dad Stories

KAULI NGUMU ZAIDI ZA REV. MAGEMBE AKIWA T.A.G

Maisha ya Mtakatifu Padre Pio @pelicanPassion

