JIWE JEUSI KWENYE AL-KAABA MAKKA DHIDI YA JIWE JEUPE LA YESU KRISTO LILILOKO MBINGUNI

Waislamu wanapokwenda Hija kule Makka, moja ya ibada wanayoifanya ni kupigisha kipaji cha uso kwenye jiwe jeusi (Hajarul Aswad) na kulibusu. Wanaamini kwamba jiwe hilo lilianguka kutoka mbinguni likiwa jeupe, lakini dhambi za Waislamu zimelifanya kuwa jeusi. Biblia inafundisha kwamba wale watakaoshinda na kuteuliwa kuingia kwenye ufalme wa Mungu, watapewa tuzo ya jiwe jeupe. Unajua maana ya mawe haya mawili kiroho inawakilisha nini? Karibu tujifunze. Subscribe, Like, Comment na Share