Siku ya ‘Arafah Allah ('Subhanaw-Wataala) Huteremka duniani kwa uteremko unaolingana na Utukufu Wake

Kwanzaa: Inapoingia Alfajiri ya Siku ya ‘Arafah, inapasa kutamka kwa wingi maneno bora kabisa aliyoyatamka Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) pamoja na Manabii kabla yake kama alivyosema Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((خَيْرُ الدُّعَاءِ دُعَاءُ يَوْمِ عَرَفَةَ، وخَيْرُ مَا قُلْتُ أنَا وَالنَّبيُّونَ مِنْ قَبْـلِي: لَا إِلَهَ إِلاَّ اللهُ وَحْدَهُ لا شَرِيْكَ لَهُ، لَهُ الـمُلْكُ، ولَهُ الـحَمْدُ، وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيءٍ قَدِير)) روى الترمذي “Du’aa bora kabisa ni du’aa katika siku ya 'Arafah, na (maneno) yaliyo bora kabisa niliyosema mimi na Manabii kabla yangu ni: لَا إِلَهَ إِلاَّ اللهُ وَحْدَهُ لا شَرِيْكَ لَهُ، لَهُ الـمُلْكُ، ولَهُ الـحَمْدُ، وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيءٍ قَدِير Laa Ilaaha illa Allaah Wahdahu laa shariyka Lahu, Lahul-Mulku Walahul-Hamdu wa Huwa 'alaa kulli shay-in Qadiyr. Hapana mwabudiwa wa haki ila Allaah, Pekee, Hana mshirika, Ufalme ni Wake, na Himdi zote ni Zake Naye juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tirmidhi] Pili: Siku ya ‘Arafah ni Siku ambayo Allah ('Subhanahu-Wa Ta'ala) Huteremka duniani kwa uteremko unaolingana na Utukufu Wake na kuwaacha huru kwa wingi waja Wake kutokana na Moto kuna hadith inayo thibitisha hili: عنْ عَائِشَةَ أنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ: "‏مَا مِنْ يَوْمٍ أَكْثَرَ مِنْ أَنْ يُعْتِقَ اللَّهُ فِيهِ عَبْدًا مِنَ النَّارِ مِنْ يَوْمِ عَرَفَةَ وَإِنَّهُ لَيَدْنُو ثُمَّ يُبَاهِي بِهِمُ الْمَلاَئِكَةَ فَيَقُولُ مَا أَرَادَ هَؤُلاَءِ"‏‏.‏ Kutoka kwa ‘Aaishah (Radhwiya Allaahu ‘anhaa) mtume Muhamad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alisema: “Hakuna siku ambayo Allaah Anayoacha huru waja kwa wingi kutokana na Moto kama siku ya ‘Arafah. Na huwa karibu kisha Anajigamba kwa Malaika na Husema: Wametaka nini hawa? Imethibitika katika [Muslim] Na katika Riwaya nyingine: اشْهَدُوا مَلاَئِكَتِي أَنِّي قَدْ غَفَرْتُ لَهُمْ. صحيح الترغيب ((“Shuhudieni Malaika wangu kwamba hakika Mimi Nimewaghufuria”)) [Swahiyh At-Targhib (1154)] Tatu: Kwa Haaj aliyejaaliwa kusimama ‘Arafah na kwa asiyejaaliwa kwenda Hajj hakikisha unabakia kwenye 'ibaadah baada ya Swalaah ya Adhuhuri na khasa usikose baada ya Alasiri mpaka iingie Magharibi. Ambae labda utakuwa katika mihangaiko ya kazi na kadhalika basi hakikisha ulimi wako ukitaja maneno tuliyo ya zungumza hapo mwanzo yaani jitahiti siku hii isikupite patupu fanya juu chini Lisikushughulishe jambo lolote jengine ila umdhukuru Allaah ('Subhana-Watala) na kumuomba maghfirah kwa wingi, kuomba dua na kuomba Allah ('Subhana-watala) Akuache huru kutokana na Moto pamoja na wazazi wako na ahli zako, vizazi vyako, jamaa zako, nduguzo katika Iymaan na Akutaqabalie haja zako. Ukumbusho mwingine ambao watu hughafirika nao mara kwa mara ni ambae ametia nia ya kuchinja au kuchinjiwa unapoandama mwezi wa Dhul-Hijjah wanatakiwa wajizuie kukata nywele za mwili na kukata kucha mpaka watakapomaliza kuchinja. Haya ni maamrisho na yana uthibitisho kupitia hadith hii hapa: Ummu Salamah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) amehadithia kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Ukiandama mwezi wa Dhul-Hijjah na ikiwa yuko anayetaka kuchinja basi azuie (asikate) nywele zake na kucha zake)) na katika riwaaya nyengine ya Muslim (1977); ((basi asitoe kitu katika nywele zake wala ngozi yake)) [Muslim] Amesema Imaam Ibn ‘Uthaymin (Rahimahu Allaah): “Sunnah Muakkadah (Iliyosisitizwa) kwa mwenye uwezo. Achinje kwa ajili ya nafsi yake na watu wa nyumbani mwake.”

SAFARI HII INASHABIHIANA NA SAFARI YETU YA MWISHO KUELEKEA AKHERA
▶︎

SAFARI HII INASHABIHIANA NA SAFARI YETU YA MWISHO KUELEKEA AKHERA

KHABARI ZINAZO VUMA BUJUMBURA KUHUSU MASHINDANO YA QORAN
▶︎

KHABARI ZINAZO VUMA BUJUMBURA KUHUSU MASHINDANO YA QORAN

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام
▶︎

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

The Untold Story of Angel Jibreel (A.S) – Allah’s Most Powerful Messenger
▶︎

The Untold Story of Angel Jibreel (A.S) – Allah’s Most Powerful Messenger

#Sheikh  nurdin  kishki  asimulia kilichomkuta
▶︎

#Sheikh nurdin kishki asimulia kilichomkuta

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

I have never eaten such delicious zucchini!  Nobody knows this recipe!  Only 2 ingredients!
▶︎

I have never eaten such delicious zucchini! Nobody knows this recipe! Only 2 ingredients!

248 DIOS TE DICE HOY: NADA ES IMPOSIBLE PARA MÍ | CONFÍA EN DIOS
▶︎

248 DIOS TE DICE HOY: NADA ES IMPOSIBLE PARA MÍ | CONFÍA EN DIOS

MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA EID AL FITR
▶︎

MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA EID AL FITR

Daawo Sh Umal O Si Cadholeh Ugahadlay Cadaalad darada Xaakimiinta Somalia Iyo Munaafaqnimada Hoganka
▶︎

Daawo Sh Umal O Si Cadholeh Ugahadlay Cadaalad darada Xaakimiinta Somalia Iyo Munaafaqnimada Hoganka

I Found A MOSQUE Next To The AMAZON Rainforest
▶︎

I Found A MOSQUE Next To The AMAZON Rainforest

"TULIKUTANA NA JAMBO LA AJABU PORINI" Sheikh Shariff Matongo Asimulia Mikasa Mizito ya Maisha Yake
▶︎

"TULIKUTANA NA JAMBO LA AJABU PORINI" Sheikh Shariff Matongo Asimulia Mikasa Mizito ya Maisha Yake

Who is Baal? The Ancient Demon Mentioned in the Quran
▶︎

Who is Baal? The Ancient Demon Mentioned in the Quran

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

MKITOKA KUFANYA VURUGU TUTAKATANA MIGUU, TUNA VIJANA WAKUTOSHA MSITHUBUTU, SHEIKH MWAIPOPO
▶︎

MKITOKA KUFANYA VURUGU TUTAKATANA MIGUU, TUNA VIJANA WAKUTOSHA MSITHUBUTU, SHEIKH MWAIPOPO

Visiting the Muslim Island with over 8000 Mosques Lombok Indonesia 🇮🇩
▶︎

Visiting the Muslim Island with over 8000 Mosques Lombok Indonesia 🇮🇩

The SHOCKING Truth About Your Last 7 Days
▶︎

The SHOCKING Truth About Your Last 7 Days

ASMR Addictive Fast Tapping Collection For Deep Sleep & Anxiety Relief (No Talking) — 2.5 Hours
▶︎

ASMR Addictive Fast Tapping Collection For Deep Sleep & Anxiety Relief (No Talking) — 2.5 Hours

The Secret of 5 AM | One Habit That Changed a Poor Man’s Life
▶︎

The Secret of 5 AM | One Habit That Changed a Poor Man’s Life

Watch This Before Fasting the Day of Ashura | Dr. Omar Suleiman
▶︎

Watch This Before Fasting the Day of Ashura | Dr. Omar Suleiman