Mahakama Kuu Yatoa Uamuzi Kesi ya Kupinga Ubunge wa Baba Levo, 'Hana Kesi ya Kujibu'

Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Kigoma leo Julai 16, 2026, imetupilia mbali shauri la kesi ya uchaguzi iliyokuwa ikimkabili mbunge wa jimbo la Kigoma mjini Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) kwa madai kuwa ushahidi uliotolewa haukidhi vigezo vya kisheria. ​Uamuzi huo umetolewa leo Julai 16, 2026 na Jaji Victoria Nongwa ambaye amesema ushahidi uliowasilishwa na walalamikaji wanne ambao ni wanachama wa ACT-Wazalendo hauna mashiko ya kisheria, na hivyo kuamuru kuwa upande wa walalamikiwa hawana kesi ya kujibu. ​Kesi hiyo namba 28949/2025 iliyokuwa ikipinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa hoja za rushwa, utekaji, na udini sasa imefungwa rasmi baada ya mahakama kubainisha dosari kubwa katika ushahidi wa walalamikaji. Walalamikaji wote wanne pamoja na Baba Levo walifika mahakamani hapo asubuhi ya leo kusikiliza uamuzi huo baada ya ushahidi wa walalamikaji kukamilika mnamo Julai 10, 2026. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa
▶︎

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

🔴🅻🅸🆅🅴 HakiTv : Katambi afunguliwa kesi Rasmi LHRC,TLS na Dkt. Slaa Wanafunguka
▶︎

🔴🅻🅸🆅🅴 HakiTv : Katambi afunguliwa kesi Rasmi LHRC,TLS na Dkt. Slaa Wanafunguka

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA
▶︎

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola
▶︎

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola

USHINDI WA KESI YA UBUNGE! BABA LEVO AWAJIBU WANACHAMA WA ACT
▶︎

USHINDI WA KESI YA UBUNGE! BABA LEVO AWAJIBU WANACHAMA WA ACT

WAMENINYANGANYA VITU ZOTE RAILA ALINIPEA LAKINI SIOGOPI, I'LL DIE FIGHTING.Sifuna ROARS in senate
▶︎

WAMENINYANGANYA VITU ZOTE RAILA ALINIPEA LAKINI SIOGOPI, I'LL DIE FIGHTING.Sifuna ROARS in senate

#LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA NA DIASPORA MUDA HUU
▶︎

#LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA NA DIASPORA MUDA HUU

EMS መረጃዎች ቀጥታ ጀኔራል መሀመድ ተሰማ...-አብይን እንመን  ጌታቸውን? Thu 16July 2026
▶︎

EMS መረጃዎች ቀጥታ ጀኔራል መሀመድ ተሰማ...-አብይን እንመን ጌታቸውን? Thu 16July 2026

UTAPENDA USHUPAVU WA BRENDA WA CHADEMA ALIVYOPANGUA HOJA NZITO ZA WATANGAZAJI KUHUSU CHADEMA
▶︎

UTAPENDA USHUPAVU WA BRENDA WA CHADEMA ALIVYOPANGUA HOJA NZITO ZA WATANGAZAJI KUHUSU CHADEMA

AMERIKA NA IRAN BYONGEYE KWESURANA // INZIRA YA HURMUZ YONGEYE GUFUNGWA - KNC NA MUTABARUKA
▶︎

AMERIKA NA IRAN BYONGEYE KWESURANA // INZIRA YA HURMUZ YONGEYE GUFUNGWA - KNC NA MUTABARUKA

Wadau Wasisitiza Utekelezaji wa Maazimio ya Jumuiya ya Madola Juu ya Mkwamo wa Kisiasa Tanzania
▶︎

Wadau Wasisitiza Utekelezaji wa Maazimio ya Jumuiya ya Madola Juu ya Mkwamo wa Kisiasa Tanzania

CHADEMA Wamjibu MCHANGE LIVE STUDIO, Tuhuma za HECHE "AJENDA ZAKO UMEZITOA WAPI?"
▶︎

CHADEMA Wamjibu MCHANGE LIVE STUDIO, Tuhuma za HECHE "AJENDA ZAKO UMEZITOA WAPI?"

Profesa Lwaitama Azungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola, Lissu Aachiliwe, Apinga Visingizio
▶︎

Profesa Lwaitama Azungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola, Lissu Aachiliwe, Apinga Visingizio

The Standard Signal Ep.23| Semhal Meles on TPLF, Elite Capture & The Politics of Resource Extraction
▶︎

The Standard Signal Ep.23| Semhal Meles on TPLF, Elite Capture & The Politics of Resource Extraction

Linda Mwananchi MPs on Sifuna's Removal as Deputy Minority Chief Whip in the Senate
▶︎

Linda Mwananchi MPs on Sifuna's Removal as Deputy Minority Chief Whip in the Senate

ይህ ምክክር ለምን አስፈለገ ? _ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አህመድ (ዶ/ር) _ሀገራዊ ምክክር 2018 @NBCETHIOPIA
▶︎

ይህ ምክክር ለምን አስፈለገ ? _ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አህመድ (ዶ/ር) _ሀገራዊ ምክክር 2018 @NBCETHIOPIA

LHRC TLS, Slaa Wamshtaki Waziri Katambi Kwa Kufungia Mikutano ya Vyama
▶︎

LHRC TLS, Slaa Wamshtaki Waziri Katambi Kwa Kufungia Mikutano ya Vyama

#OTHMAN MASOUD ATOA KISA CHA MARIDHIANO NA CCM
▶︎

#OTHMAN MASOUD ATOA KISA CHA MARIDHIANO NA CCM

Kenya's Ruto Faces Pressure to Contain Rise of Goonism After Church Attack | Firstpost Africa
▶︎

Kenya's Ruto Faces Pressure to Contain Rise of Goonism After Church Attack | Firstpost Africa

Lissu Kuachiwa- Warioba, Tibaijuka Watajwa na Wadau Usuluhushi wa Mkwamo wa Kisiasa Tanzania
▶︎

Lissu Kuachiwa- Warioba, Tibaijuka Watajwa na Wadau Usuluhushi wa Mkwamo wa Kisiasa Tanzania