BAADA YA KUFIWA NA MUME SHEMEJI ADAIWA KUFUNGA MLANGO NA KUONDOKA "WATOTO HAWAJAOMBA BABA YAO AFE"
Mwanamke Mjane anayefahamika kwa jina la Jackline Oqorro ambaye amekuwa akiishi katika eneo la kwa mrefu wilayani Arumeru mkoani Arusha kwa zaidi ya miaka kumi, amedai kuwa baada ya kukamatwa na maafisa wa Uhamiaji hivi karibuni amerejea katika eneo hilo na kukuta chumba anacholala na watoto wake katika Jengo la ghorofa aliloachiwa na mume wake kimefungwa na shemeji yake aitwae Solomoni James kwa madai kuwa anaishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Mjane huyo ambaye ana asili ya ni nchini Kenya akizungumza na GADI TV amesema madai haya yanakuja ikiwa ni baada ya ndugu Solomoni kumshtaki katika vituo vya polisi kwa makosa ya uongo yaliyopelekea kukamatwa kwa mara kadhaa na baadae kuachiwa katika mazingira ya utata bila kesi kuendelea. Aidha, Jackline amedai kuwa dhana ya shemeji yake kumfanyia vitendo vya kumkamata mara kwa mara kwakutumia mamlaka mbalimbali inalenga kumnyanyasa ili aondoke nchini. Hata hivyo, GADI TV imemtafuta Solomoni ili kufahamu juu ya tuhuma hizo, na amesema waliohusika na kufunga chumba hicho ni boma la familia yao hivyo yeye binafsi hausiki na tuhuma hizo. Kadhalika, baada ya GADI TV kumaliza mahojiano na mjane huyo na kwenda upande wa Mamlaka ya Uhamiaji ili kuhoji kuhusu tuhuma za kukamatwa kwakwe, Mamlaka hiyo imesema tayari Mjane huyo amerudishwa nchini Kenya kwakua hakua na vibali halali vya kuishi nchini Tanzania. GADI TV ndiyo Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: [email protected] Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV Thanks.

KIJANA MAFURU ALIYEBADILISHA MAISHA YA MZEE WA SAMAKI SONGWE 'NYUMBA IMETUMIA MILIONI 10"

MCHUNGAJI wa MUUMINI ALIVEIBIWA MIL 70 CCTV CAMERA ZIKAONESHA ARUSHA AFUNGUKA TUKIO ZIMA LILIVYOKUWA

NELLY KAMWELU ALIA AKISIMULIA ALIVYOPIGWA na EX-WAKE - ''ALINIVUTA NYWELE AKANIBURUZA MPAKA CHINI''

Kiwewe cha ‘polygamist’: Je wanawake wengi wanaezapenda mume mmoja kwenye ndoa | Gumzo La Sato

PRESIDENT PAUL KAGAME AHUYE NA FDLR IVUZE IMENA AMABANGA YOSE UMVA UBURUNDI NA FDLR NA MONISCO TUR

KILICHOWAKUTA WANAUME WATATU ARUSHA CHAWAIBUA WAKE ZAO WAZUNGUMZA WAKILIA MACHOZI.

ADAIWA KUMPIGA RISASI DEREVA ALIYEKUWA AMEPAKI GARI VIBAYA NA KUSABABISHA KIFO CHA MKEWE ARUSHA.

''UMEVUTA BANGI ZAKO - NYAMAZA - ANANITISHIA KUNIUA'' - MSELA ABISHANA na WAZIRI MGOGORO wa ARDHI...

AFISA MTENDAJI Amnyonga MKEWE Mpaka KUFA/BABA na KAKA wa MAREHEMU WASIMULIA/ "MUME alikuwa MLEVI"...

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

KIMENUKA! MSELA ALIYEBISHANA na WAZIRI - GARI LAITWA CHAP na POLISI KWENDA SAITI KUJUA UKWELI...

June 25, 2024 lives on in memory as Gen Z reflects on sacrifice, loss and resilience

MWALIMU ALIYEPOTEA KWA ZAIDI YA SIKU 30 MOSHI MJOMBA AHISIWA KUHUSIKA KUUA.

ALIVYOKUTWA KWA MWANAUME BAADA YA KUAGA ANAENDA KUCHUKUA SAA KWA MWANAFUNZI MWENZAKE ARUSHA.

"UNAPENDWA UKIWA UMEKUFA, WANAJITOKEZA, KILA MMOJA ANAJITETEA, WANATAMANI KUBAKI NA MALI" MSIBANI.

EMS ነገሩ በየአቅጣጫው ከፍቷል! እለታዊ የህዝብ መድረክ Sat 27Jun 2026

FUNDI ALIVYOUWAWA BAADA YA KUMDAI BOSS WAKE LAKI MBILI AKIWA ANAJENGA NYUMBA MOSHI.

JAMAA WA ARUSHA ALIYE TREND KWENYE GUTA BAADA YA KUMPOST MKE WAKE "NAMSAPOTI MAKONDA"

