MCHUNGAJI AUWAWA KWA KUPIGWA AKIDAIWA MKUMLOGA KATEKISTA WA KATOLIKI HADI KUFA..
Mchungaji Goden James Ngumbwike (66) wa kanisa la Pentecoste Evangelical Fellowship Of Africa lililopo Iganjo, amefariki dunia baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali akiwa nyumbani kwake wakimtuhumu kumloga hadi kufa jirani yake Katekista wa kanisa Katoliki Fadhili Komba, wa kigango cha Mwansekwa jimbo kuu katoliki la Mbeya na Mkazi wa mtaa Mwafute kata ya Ilemi Jijini Mbeya. Tukio la kupigwa hadi kufa kwa mchungaji Ngumbwike Limefanywa Na Wananchi April 17 ,2025 majira ya mchana Akiwa Nyumbani Kwake Mtaa Wa Mwafute Kata Ya Ilemi Jijini Mbeya, Wakimutuhumu Mchungaji kuwa Ndiye Mhusika Mkuu Wa Kifo Cha Jirani yake Katekista Fadhili Komba Ambaye Alifariki Dunia April 15 Mwaka huu, Baada Ya Kuugua Muda Wa Miezi Mitano Na Kwamba Maradhi Yalimuanza Baada Mgogoro Wa Mpaka Kati Ya Hao Wawili. Wakizugumza Na Watetezi Tv Viongozi hao Kabla Ya Tukio Hilo Viongozi Wa Mtaa Wa Mwafute Pamoja Na Kimila Walishawahi Kulizungumzia Na Kumtaka Katekista Aombe Radhi, Na Licha Ya Kufanya Hivyo Lakini Bado Aliendelea Kuumwa Hadi Umauti Unampata Kama Ambavyo Viongozi Wanazungumzia Sakata Hilo. Viongozi Hao wameongeza kuwa Licha Kuwa Serikali kutoamini uchawi, wanakemea kitendo cha wananchi kujichukuliwa sheria mkononi, na sababu zilizofanya wananchi kuamini kuwa katekista huyo kalogwa ni baada ya mchungaji huyo kukubali kuombwa msamaha lakini pia na kauli ambazo aliwahi kuzitoa dhidi ya katekista ambaye ni jirani yake. Juhudi za kumtafuta kamanda wa polisi zinaeleendelea ili kuzungumziA suala hilo.

TAHARUKI ILIYOTOKEA MBEYA YAMALIZWA, MZEE ALIYEINGIZA ZAIDI YA NG'OMBE 500 HIFADHINI ARUDISHIWA

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA MTUMISHI WA KANISA KATOLIKI MAKAMBAKO AKAMATWA''KAMANDA WA POLISI ATHIBITISHA

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

I accidentally visited the Switzerland of Africa (Eastern DRC)

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Mhubiri adaiwa kumtunga mimba mtoto wa miaka14 Mwingi, Kitui

AMAMA MBABAZI ON GEN. MUHOOZI | Erias Lukwago | Muhoozi | Museveni | Besigye

ASKOFU KWA UCHUNGU ASEMA KWA NIN TUSIWEKE NIA YA KUUNDA JESHI LA WANANCHI KUKOMESHA MAUAJ YA KINYAMA

“No South African,No Foreigner Should Die”: Jacinta Zuma ERUPTS on South Africa’s Immigration Crisis

THIS IS THE SOURCE OF THE MV BUKOBA ACCIDENT AND ITS EFFECTS | FMB TV

Ufahamu wasifu wa aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

ANTI-IMMIGRANT TENSIONS TAKE A NEW TURN IN SOUTH AFRICA #southafricanews

🔴LIVE: WITNESS PRESIDENT SAMIA BEING AWARDED THIS HONORARY DEGREE BY THE RUSSIAN PEOPLE

MTUHUMIWA WA MAUAJI YA MTUMISHI WA KANISA KATOLIKI MAKAMBAKO AFIKISHWA MAHAKAMANI.

HOTUBA YA MAREMU SANGO P2 BIBI YA SESILE SABABU ZA KIFO CHAKE ZATAJWA

Asɛm Aba🫢CAC Chairman Sɛx scandal + members calls on Apostle Eric Nyamekye

How Noah's Ark Was Designed — Biblical Engineering

