Unafahamu kwa nini Watanzania wengi wetu tukifunga vinywa vyetu meno ya juu na chini hayagusani?

Wiki hii AfyaCheck tumewatembelea madaktari wawili mabingwa kabisa wa kinywa na meno; Dr. Haleema Hassan BDS, MDS (Orthodontics & Dentofacial Orthopaedics) na Dr. Sheerin BDS, MDS, Dep. Endo (IBE) waliopo kwenye hospitali mpya na ya kisasa kabisa ya Medinova Specialized Polyclinic iliyopo Oysterbay, Dar es Salaam. Madaktari hawa mabingwa wamezungumzia kwa kirefu kuhusu meno na maradhi ya kinywa ikiwemo sababu ya kwanini Watanzania wengi hatuwezi kufunga vinywa vyetu vizuri hali ambayo inapelekea tushindwe kuwa na mpangilio mzuri wa meno vinywani mwetu. . Uzuri ni kuwa madaktari hawa wote wapo hapa Tanzania kwenye hospitali hii Medinova Specialized Polyclinic iliyopo Oysterbay, Dar es Salaam, Tanzania. Unaweza kuonana nao kwa kuweka miadi kwa namba hii +255 695 112 233

MAUMIVU YA JINO/ MENO: Sababu, dalili, matibabu na Nini cha kufanya
▶︎

MAUMIVU YA JINO/ MENO: Sababu, dalili, matibabu na Nini cha kufanya

Fahamu kuhusu maradhi mbalimbali ya macho na namna ya kutunza macho na uwezo wake wa kuona
▶︎

Fahamu kuhusu maradhi mbalimbali ya macho na namna ya kutunza macho na uwezo wake wa kuona

KIJANA WA MIAKA 32 ANAYEMILIKI MALORI 7 YA FAW, ALIKOPA KWA KUTUMIA NYUMBA AKAMFICHA MKEWE
▶︎

KIJANA WA MIAKA 32 ANAYEMILIKI MALORI 7 YA FAW, ALIKOPA KWA KUTUMIA NYUMBA AKAMFICHA MKEWE

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
▶︎

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

Building a Log House in 36 Minutes TIMELAPSE - Long Version | Start to Finish by @Карельский дилетант
▶︎

Building a Log House in 36 Minutes TIMELAPSE - Long Version | Start to Finish by @Карельский дилетант

Je, unafahamu kazi ya 'vile vichuma' vinavyowekwa kwenye meno ya watoto na vijana wetu siku hizi?
▶︎

Je, unafahamu kazi ya 'vile vichuma' vinavyowekwa kwenye meno ya watoto na vijana wetu siku hizi?

Al Rahma Hospital - clinic ya meno
▶︎

Al Rahma Hospital - clinic ya meno

Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass
▶︎

Bukłaki [#21] Czy św. Faustynie naprawdę objawił się Jezus? || siostra Gaudia Skass

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza
▶︎

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

Fahamu unavyoweza kuondoa makovu, michirizi mwilini, tatuu (tattoos) na mapungufu ya meno kinywani.
▶︎

Fahamu unavyoweza kuondoa makovu, michirizi mwilini, tatuu (tattoos) na mapungufu ya meno kinywani.

Fahamu yote kuhusu Figo na changamoto zake
▶︎

Fahamu yote kuhusu Figo na changamoto zake

They Didn't Like Her Look, But Then She Sang Like a Star! 🤩
▶︎

They Didn't Like Her Look, But Then She Sang Like a Star! 🤩

සුප්‍රසිද්ධ විජයගිරි වලව්වේ දවසක් | Travel with Chatura
▶︎

සුප්‍රසිද්ධ විජයගිරි වලව්වේ දවසක් | Travel with Chatura

I Skied Down Mount Everest (world first, no oxygen)
▶︎

I Skied Down Mount Everest (world first, no oxygen)

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

Fahamu idadi ya wakazi wa Dar es Salaam waliohudumiwa kwenye kambi ya AfyaCheck mwaka huu 2024
▶︎

Fahamu idadi ya wakazi wa Dar es Salaam waliohudumiwa kwenye kambi ya AfyaCheck mwaka huu 2024

Rymanowski, Miller: UPA-dek przyjaźni?
▶︎

Rymanowski, Miller: UPA-dek przyjaźni?

Yafahamu maradhi ya macho yanayoathiri Watanzania wengi wetu na namna ya kuyatibu kwa wakati.
▶︎

Yafahamu maradhi ya macho yanayoathiri Watanzania wengi wetu na namna ya kuyatibu kwa wakati.

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"
▶︎

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"

Zifahamu changamoto za kiafya zinazoathiri pua, koo na masikio ya Watanzania wengi.
▶︎

Zifahamu changamoto za kiafya zinazoathiri pua, koo na masikio ya Watanzania wengi.