Good News: Tani Milioni 1 za Mihogo kupelekwa China, imewekezwa Dola Mil. 10

Leo June 28,2018 tunayo goodnews kuhusu wakulima wa zao la muhogo nchini baada ya kuzinduliwa kwa kiwanda cha uchakataji Mihogo cha Kanton mkoani Tanga ambapo itasafirishwa kwenda nchini China.