AJALI MBAYA ROMBO: WATU 9 WAFARIKI, MMOJA AJERUHIWA
Ajali mbaya ya barabarani imetokea leo Desemba 26, 2024, wilayani Rombo, Kilimanjaro, ikihusisha gari dogo aina ya Toyota Noah na basi la Kampuni ya Ngasere. Watu tisa wamepoteza maisha papo hapo, na majeruhi mmoja amepelekwa Hospitali ya Huruma kwa matibabu. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, miili ya marehemu imehifadhiwa Hospitali ya Karume. Ajali imetokea baada ya Noah kulipita lori la Fuso na kugongana uso kwa uso na basi lililokuwa likitoka Dodoma kuelekea Rombo. Polisi wanaendelea na uchunguzi wa ajali hii. Tunatoa pole kwa familia za marehemu na kuhimiza kila mmoja kufuata sheria za barabarani ili kuepusha majanga kama haya. Tazama video kamili kwa maelezo zaidi na tafadhali like, comment, na subscribe kwa habari mpya kila siku. Chanzo: Mwananchi Communication. Msomaji: John Mwonga #MachingaTv #AjaliRombo #HabariZaTanzania #UsalamaBarabarani #BreakingNews

GARI LA WANAKWAYA LAPINDUKA LIKIPELEKA MSIBA KILIMANJARO, 5 WAFARIKI HAPOHAPO, WENGINE 20 WAJERUHIWA

Mfungwa Huyu Aliwezaje Kutoroka Gereza Linalolindwa Zaidi MAREKANI? Visa na Mipango Yake Ni Balaa!

#BREAKING.TAZAMA MAPOKEZI YA RAIS WA MSUMBIJI DANIELI CHAPO ALIVYO WASILI IKULU DAR ES SAALAM

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION

AJALI YA BASI ARUSHA, WATU ZAIDI YA SABINI KWENYE BASI WANUSURIKA, MMOJA AHOFIWA KUFARIKI

SIMANZI!!! AJALI YA ROMBO ILIYOHUSISHA NOAH, BASI IDADI YAFIKIA 10

How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

AJALI YAUA WATU NANE MWANZA, MABASI MAWILI YAGONGANA, WENGINE WAJERUHIWA

SHUHUDA ASIMULIA 11 WALIVYOFARIKI KWENYE AJALI HANDENI

Total Earthquake - SIFUNA'S Party Approved!- It's getting hot!

MADARAJA YA LESENI ZA UDEREVA

HAKUNA KUONGEZEANA MUDA: WAZIRI AWESO AELEKEZA MRADI WA MAJI MPANDA UKAMILIKE KWA HARAKA.

Massive Trailer Brake Failure Accident | Overloaded Truck Crashes Into Mountain

Deadly Hills: Trucks Flip Over One After Another on This Dangerous Road

Jua Maajabu ya Mlima Kilimanjaro

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao | Roasted Chicken & Punjabi Curry | Rosh

Scariest Crosswind Landings Ever Caught on Camera!

Fahamu Jinsi Wakulima Wanaoshirikiana na Floresta Wanavyopambana na Ukame Kupitia Kilimo Hifadhi.

Crimea declares state of emergency after Ukrainian drone strikes

