MAPYA KUTEKWA KWA POLEPOLE, MAJIRANI WASEMA WALISIKIA ...

Siku moja baada ya kusambaa taarifa za kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, taarifa mpya zimeibuka huku mawakili wake wakifungua kesi ya kutaka mamlaka husika zimfikishe mahakamani. Mbali na hatua hiyo, mmoja wa majirani wa nyumba anayodaiwa kutekwa Polepole, ameeleza kile alichoshuhudia wakati wa tukio, huku msimamizi wa nyumba hiyo akibainisha kuwa hakuwahi kufahamu kama Polepole ndiye alikuwa akiishi hapo. Wakati hayo yakijiri, Jeshi la Polisi kupitia kwa Msemaji wake, David Misime lilitoa taarifa Oktoba 6, 2025, likieleza kuwa uchunguzi wa madai ya utekaji huo umeanza. Wakati huohuo, Misime alisema bado wanamsubiri Polepole kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kutoa maelezo kuhusu madai mbalimbali aliyoyatoa dhidi ya Serikali na viongozi wake. Hata hivyo, taarifa nyingine ya polisi iliyotolewa leo Oktoba 7, 2025, imeeleza kuwa jeshi hilo linamtafuta kaka wa Polepole, aitwaye Augustino Polepole, kufuatia madai aliyosambaza kwenye mitandao ya kijamii, akimtuhumu ofisa mmoja wa polisi kuwa ndiye aliyehusika na utekaji huo. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, wanamtafuta Augustino kwa lengo la kupata maelezo ya kina na vielelezo, vinavyoweza kusaidia kufafanua madai yake. Ushuhuda wa jirani Wakati hayo yakiendelea, mmoja wa majirani na nyumba alikotekwa Polepole, amesema damu zilizomwagika wakati wa kutekwa kwa Humphrey Polepole ni nyingi.

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

IGP ashindwa kujizuia APIGA SIMU, tatu nzito za RPC Shinyanga zitakutoa machozi
▶︎

IGP ashindwa kujizuia APIGA SIMU, tatu nzito za RPC Shinyanga zitakutoa machozi

"UMESHINDWA KULINDA RAIA"? MULIRO ABANWA KWA  MASWALI MAGUMU/ NAYE AJINASUA
▶︎

"UMESHINDWA KULINDA RAIA"? MULIRO ABANWA KWA MASWALI MAGUMU/ NAYE AJINASUA

Humphrey Polepole anayeripotiwa kutekwa Tanzania ni nani?
▶︎

Humphrey Polepole anayeripotiwa kutekwa Tanzania ni nani?

HECHE AZUNGUMZIA KUTEKWA kwa POLEPOLE na WAKILI KUPIGANA MAHAKAMANI - "HILI ni TUKIO BAYA SANA"..
▶︎

HECHE AZUNGUMZIA KUTEKWA kwa POLEPOLE na WAKILI KUPIGANA MAHAKAMANI - "HILI ni TUKIO BAYA SANA"..

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

KUTEKWA kwa POLEPOLE KWAMUIBUA OLE SENDEKA - AZUNGUMZA MAZITO...
▶︎

KUTEKWA kwa POLEPOLE KWAMUIBUA OLE SENDEKA - AZUNGUMZA MAZITO...

Madai ya kutekwa kwa Polepole: Familia na Polisi wazungumza
▶︎

Madai ya kutekwa kwa Polepole: Familia na Polisi wazungumza

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"
▶︎

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots
▶︎

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?
▶︎

MZEE SAID!SIMBA NA YANGA WOTE AWATOPOTEZA MCHEZO BINGWA YANGA/KWA NIN FINAL IPELEKWE GOMBANI PEMBA?

MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7
▶︎

MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI
▶︎

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA
▶︎

MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA

LIVE: HUMPHREY POLEPOLE LEO ANAANIKA SIRI NZITO, KIFO CHA MAGUFULI, ROSTAM (29/08/2025)
▶︎

LIVE: HUMPHREY POLEPOLE LEO ANAANIKA SIRI NZITO, KIFO CHA MAGUFULI, ROSTAM (29/08/2025)

Ghanaians Hit The Streets: 'South African Companies, Pack Up and Leave'
▶︎

Ghanaians Hit The Streets: 'South African Companies, Pack Up and Leave'

Opening Speech for World Maritime Day
▶︎

Opening Speech for World Maritime Day