WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU, ATOA MAAGIZO KUKAMILIKA MIRADI YA BRT
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Waziri Ulega ameagiza miradi hiyo ikamilike kabla ya msimu wa mvua za Masika mapema mwakani ili kupunguza changamoto za msongamano wa magari katika jiji hilo. "Nimeagiza kazi ifanyike usiku na mchana kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa wakati. Msimu wa Masika una changamoto zake, na hatutaki kuona wananchi wakitaabika. Tunafanya hivi kwa kutekeleza maelekezo ya Mheshimiwa Rais pamoja na Ilani ya CCM ya 2020-2025 inayosisitiza kupunguza msongamano wa magari mijini," amesema Waziri Ulega.

WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO MAKALI KWA MSIMAMIZI WA MRADI WA BRT 4 / ATAKA MRADI UKAMILIKE KWA WAKATI

HALI TETE MRADI WA MWENDOKASI AWAMU YA NNE, MKANDARASI ASHINDWA, WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

WATUHUMIWA 4 MAUAJI YA MCHINA DAR MBARONI
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/nsNMED63r_o/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBAdv8YWmyFJDW4xOFh72FtTnTfwQ)
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]

🔴#LIVE: MAPYA KESI ya LISSU KUPIGWA KALENDA /TAMU - CHUNGU BAJETI KUU LEO/WAZIRI AKANUSHA KAULI YAKE

KIJANA APORWA ZAIDI YA MILIONI 10 BAADA YA KUVAMIWA NA WATU WASIOJULIKANA

🔴Kikwete Aingilia Kati Mgogoro, Mkutano Marekani na Mshauri wa Trump Kutatua Mizozo, Samia Kimya

Afghanistan famous Chapli kabab | Eggs Kabab | Olive Kabab | Street food

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

Program ya Polisi Jamii yazaa Matunda Singida | Police Family Day 2026

#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA 24, TAREHE 07 MEI, 2026

Inside the Largest Wood Sawmill Factory – How Plywood Is Made From Logs to Table (Full Process)

#LIVE: WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA MHE PROF. ADOLF MKENDA AKIWASILISHA BAJETI

RUVUMA WAJIVUNIA UWEPO WA MAKAA YA MAWE

WADAU KARIBUNI TUSHIRIKIANE KUIPENDEZESHA DAR ES SALAAM

KATAPILA LAVAMIA NYUMBA SAA 8 USIKU LAUWA WATOTO WAWILI NA KUJERUHI BABA NA MAMA 'PEMBA'

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #7 #adamrose #smartworkers

