Msami azawadiwa Gari jipya na Menejimenti yake,Kajala nae ndani...

Ni mwimbaji na dancer kwenye muziki wa bongofleva anaitwa Msami Giovani leo June 11, 2016 bila kujua kitachotokea baada ya kufanya mazoezi asubuhi, meneja wake aitwae Rehema amemfanyia suprise ya kumzawadia gari aina ya Toyota Ipsum yenye thamani ya Tsh. milioni 15.